Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Aise mzee hiyo kitu acha kabisa
Mimi nakumbuka niliitest enzi hizo Niko form 4, Kuna ndugu yangu alikuwa anatumia nikaona isiwe kesi Wacha na Mimi nitafute arosto!

Aisee baada ya pafu kadhaa, break ya kwanza nilijikuta chooni!! Ewalaa nikaanza kutafakari kilichonipeleka chooni nkajikuta hata sielewi nimefikaje na nimefata Nini.

Picha la pili likaanza muda wa chai, nikashangaa chupa ya chai Iko mdomoni, hata sikukumbuka kama Kuna kutumia kikombe !!

Kiukweli ilikuwa ni siku ya vituko, nashukuru tu tulikuwa peke yetu nyumbani na Chali yangu [emoji1].

Ila nilipata funzo.
Aisee bangi sio powa. Tokea siku ile Niliapa sitorudia kujaribu kuvuta moshi wa huo mmea uliotaka kunitia uchizi!!.

Nawasilisha!!
Ha ha ha.....Kama nakuona vile[emoji28]
 
mkuu bangi inavyozungumziwa ni tofauti na ilivyo! Shahidi mimi mwenyewe, nimevuta zaidi ya mara moja wala sijawahi kukimbilia chooni!
Utakua na KICHWA kizur Labda,
Hizi mambo huend mmetofautiana uhimilivu[emoji4]
 
Wewe hujavuta bangi. Hiyo kitu ni mbaya wala hakuna maswali. Mimi sijavuta ila mdogo wangu alipoanza kuivuta hajawahi kuwa sawa tena. Tukiwa sekondari kuna dogo mmoja aliianzia form III mwishoni ila hadi anamaliza IFM alikuwa tayari kituko sasa hivi yuko Matejoo anashindia pombe za kienyeji wakati tukiwa shule alikuwa ni mmiliki halali wa namba moja. A-level alienda Mzumbe. Nina shuhuda nyingi za ndugu na marafiki walioharibikiwa maisha kwasababu ya bangi wakati mwanzoni walikuwa watoto wema sana.
 
Wewe hujavuta bangi. Hiyo kitu ni mbaya wala hakuna maswali. Mimi sijavuta ila mdogo wangu alipoanza kuivuta hajawahi kuwa sawa tena. Tukiwa sekondari kuna dogo mmoja aliianzia form III mwishoni ila hadi anamaliza IFM alikuwa tayari kituko sasa hivi yuko Matejoo anashindia pombe za kienyeji wakati tukiwa shule alikuwa ni mmiliki halali wa namba moja. A-level alienda Mzumbe. Nina shuhuda nyingi za ndugu na marafiki walioharibikiwa maisha kwasababu ya bangi wakati mwanzoni walikuwa watoto wema sana.
wana sababu nyingne za kiafya wala sio bangi moja kwa moja!
 
Wewe hujavuta bangi. Hiyo kitu ni mbaya wala hakuna maswali. Mimi sijavuta ila mdogo wangu alipoanza kuivuta hajawahi kuwa sawa tena. Tukiwa sekondari kuna dogo mmoja aliianzia form III mwishoni ila hadi anamaliza IFM alikuwa tayari kituko sasa hivi yuko Matejoo anashindia pombe za kienyeji wakati tukiwa shule alikuwa ni mmiliki halali wa namba moja. A-level alienda Mzumbe. Nina shuhuda nyingi za ndugu na marafiki walioharibikiwa maisha kwasababu ya bangi wakati mwanzoni walikuwa watoto wema sana.
Dah! Inaumiza Sana,
Basi ndo Mana serikali inaipiga marufuku
 
Wewe hujavuta bangi. Hiyo kitu ni mbaya wala hakuna maswali. Mimi sijavuta ila mdogo wangu alipoanza kuivuta hajawahi kuwa sawa tena. Tukiwa sekondari kuna dogo mmoja aliianzia form III mwishoni ila hadi anamaliza IFM alikuwa tayari kituko sasa hivi yuko Matejoo anashindia pombe za kienyeji wakati tukiwa shule alikuwa ni mmiliki halali wa namba moja. A-level alienda Mzumbe. Nina shuhuda nyingi za ndugu na marafiki walioharibikiwa maisha kwasababu ya bangi wakati mwanzoni walikuwa watoto wema sana.
Wavutaji wengi wa huo mmea huwa lazma wanatumia na ugoro.

Mchakato una addiction moja kali sana, lazma uboost Ili mambo yaende lasihivyo hamna jambo litakaloenda
 
wana sababu nyingne za kiafya wala sio bangi moja kwa moja!
Jomba ingekuwa unavyosema kusingekuwa na haja ya bangi kupigwa marufuku. Unavyopotosha unatia hasira mno kwasababu mimi na familia yangu tumehangaika sana na mdogo wangu kumwondoa kwenye uraibu wa bangi. Kuna dogo mwingine jirani alikuwa vizuri tu ila sasa hivi anapanda Mlima Kilinanjaro kama pota kisa bangi. Yaani madogo vyeti vina A kama zote ila hawaaminiki kwsababu ya hizo bangi. Moderator FUTENI HUU UZI ULIOJAA UPOTOSHAJI.
 
Back
Top Bottom