Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Hii ni chai ya waziwazi........., kusokota bangi yenyewe ina ufundi kama hujakaa na wavuta bangi sana huwezi kuisokota maisha....... zaidi utaishia kuimwaga yote au kuchana rizla

Watu wanasema washavuta ila kuna style ya kuvuta la sivyo itakupalia au uvute uicha mdomoni halafu utoe moshi hapo hujavuta ila umechezea.....

Kwanza mwandishi hata stimu ya sigara inaonyesha haiwezi halafu anakuja kuleta upuuzi huku kutafuta kiki kwa vitu vya ajabu..
 
FB_IMG_16856548071559209.jpg
 
Jomba ingekuwa unavyosema kusingekuwa na haja ya bangi kupigwa marufuku. Unavyopotosha unatia hasira mno kwasababu mimi na familia yangu tumehangaika sana na mdogo wangu kumwondoa kwenye uraibu wa bangi. Kuna dogo mwingine jirani alikuwa vizuri tu ila sasa hivi anapanda Mlima Kilinanjaro kama pota kisa bangi. Yaani madogo vyeti vina A kama zote ila hawaaminiki kwsababu ya hizo bangi. Moderator FUTENI HUU UZI ULIOJAA UPOTOSHAJI.
wewe ndo unapotosha. wasiufute kabla hawajavuta! Vitu vingne tunaaminishwa tu na kuogopeshwa lakini havina uhalisia wowote.
Hao vijana wako itakuwa walivuta vitu vingne sio bangi nina uhakika!
 
Hii ni chai ya waziwazi........., kusokota bangi yenyewe ina ufundi kama hujakaa na wavuta bangi sana huwezi kuisokota maisha....... zaidi utaishia kuimwaga yote au kuchana rizla

Watu wanasema washavuta ila kuna style ya kuvuta la sivyo itakupalia au uvute uicha mdomoni halafu utoe moshi hapo hujavuta ila umechezea.....

Kwanza mwandishi hata stimu ya sigara inaonyesha haiwezi halafu anakuja kuleta upuuzi huku kutafuta kiki kwa vitu vya ajabu..
hao mnaosema wanachanganyikiwa ndo wanavuta kwa style stahiki? Risla na bangi vitu viwil tofauti mzee
 
Kuna mwenzio siku ya kwanza tu kuvuta aliomba kufirwa na masela wote aliovuta nao tena anaomba kwa kilio kabisa 'naombeni mnifireee' huku analia machozi na walimfira kweli ilikua kesi nzito mtaani walikamatwa wote waliomfanyia ule mchezo mchafu Bwana mdogo kisa bangi,

Siku niliyoenjoy kula mmea ni siku nipo Chuo nakumbuka kuna mwamba ye alikua ananunua bangi alafu anachukua mbegu tupu na konyagi bapa kubwa ananyonga mbegu za bangi msokoto akimaliza analipua akishalipua anashushia na bapa la konyagi, don't try this at home mamen utakufa mapema jamaa kuna siku alinyoga misokoto mitatu usichokijua utamu wa bangi mvute wengi yaan usivute peke yangu ili usishikwe na wenge, Ila pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass mko wanne au watatu bangi inakua tamu sana, sasa jamàa msokoto mzima anakula peke yake na bapa pembeni jamaa alizima,
Wakati huo wewe ulikuwa unamuona, au ulisimuliwa?
 
wewe ndo unapotosha. wasiufute kabla hawajavuta! Vitu vingne tunaaminishwa tu na kuogopeshwa lakini havina uhalisia wowote.
Hao vijana wako itakuwa walivuta vitu vingne sio bangi nina uhakika!
Nikikuita mpumbavu nitakuwa nimekuvunjia heshima?
 
hao mnaosema wanachanganyikiwa ndo wanavuta kwa style stahiki? Risla na bangi vitu viwil tofauti mzee
Ndiyo wanavuta kwa style stahiki ndio maana wanapata madhara kama hayo maana kila kitu ukizidisha kina madhara....

Kwa hyo Bwana Mvutaji Bangi yako ulisokota kwenye gazeti[emoji28][emoji28]..... Bhas wewe hukuvuta Bangi ila ulivuta "sonyo" hebu kawaulize waliokuuzia walikupa Bangi kweli
 
Wakati huo wewe ulikuwa unamuona, au ulisimuliwa?
Nakwambia tena wewe hujawahi kuvuta hata majani ya mdimu na mpapai hata kujaribu hujawahi sembuse bangi siku ukijaribu ndio siku unaenda kutolewa Malinda hakikisha una msosi wa kutosha
 
Ndiyo wanavuta kwa style stahiki ndio maana wanapata madhara kama hayo maana kila kitu ukizidisha kina madhara....

Kwa hyo Bwana Mvutaji Bangi yako ulisokota kwenye gazeti[emoji28][emoji28]..... Bhas wewe hukuvuta Bangi ila ulivuta "sonyo" hebu kawaulize waliokuuzia walikupa Bangi kweli
nilivuta zaidi ya mara 2 maeneo tofauti tofauti. mzee baba mimi naijuwa bangi vizuri sana
 
Nakwambia tena wewe hujawahi kuvuta hata majani ya mdimu na mpapai hata kujaribu hujawahi sembuse bangi siku ukijaribu ndio siku unaenda kutolewa Malinda hakikisha una msosi wa kutosha
umekaririshwa na ukakariri rafiki yangu
 
Ndiyo wanavuta kwa style stahiki ndio maana wanapata madhara kama hayo maana kila kitu ukizidisha kina madhara....

Kwa hyo Bwana Mvutaji Bangi yako ulisokota kwenye gazeti[emoji28][emoji28]..... Bhas wewe hukuvuta Bangi ila ulivuta "sonyo" hebu kawaulize waliokuuzia walikupa Bangi kweli
MAWEED fika hapa
 
Kuna mwenzio siku ya kwanza tu kuvuta aliomba kufirwa na masela wote aliovuta nao tena anaomba kwa kilio kabisa 'naombeni mnifireee' huku analia machozi na walimfira kweli ilikua kesi nzito mtaani walikamatwa wote waliomfanyia ule mchezo mchafu Bwana mdogo kisa bangi,

Siku niliyoenjoy kula mmea ni siku nipo Chuo nakumbuka kuna mwamba ye alikua ananunua bangi alafu anachukua mbegu tupu na konyagi bapa kubwa ananyonga mbegu za bangi msokoto akimaliza analipua akishalipua anashushia na bapa la konyagi, don't try this at home mamen utakufa mapema jamaa kuna siku alinyoga misokoto mitatu usichokijua utamu wa bangi mvute wengi yaan usivute peke yangu ili usishikwe na wenge, Ila pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass mko wanne au watatu bangi inakua tamu sana, sasa jamàa msokoto mzima anakula peke yake na bapa pembeni jamaa alizima, narudia bangi alikua ananunua kisha anachukua mbegu tu anaroll kisha analipua umeme mbegu zinaenda kubust kwenye ubongo plus nyagi km yupo peponi vile alizima siku 2 hajitambui unacheza na bangi kaja kushtuka yupo hospital katundikwa dripu ya maji
Vp kuhusu cocaine ushawahi kujaribu???
 
nilivuta zaidi ya mara 2 maeneo tofauti tofauti. mzee baba mimi naijuwa bangi vizuri sana
Halafu Mkuu tokea nimekuuliza maswali yangu hujajibu hata moja........

Hapa yenyewe nimekuuliza ulivutia kwenye gazeti ila mpaka sa hivi hujanijibu
 
Kuna mwenzio siku ya kwanza tu kuvuta aliomba kufirwa na masela wote aliovuta nao tena anaomba kwa kilio kabisa 'naombeni mnifireee' huku analia machozi na walimfira kweli ilikua kesi nzito mtaani walikamatwa wote waliomfanyia ule mchezo mchafu Bwana mdogo kisa bangi,

Siku niliyoenjoy kula mmea ni siku nipo Chuo nakumbuka kuna mwamba ye alikua ananunua bangi alafu anachukua mbegu tupu na konyagi bapa kubwa ananyonga mbegu za bangi msokoto akimaliza analipua akishalipua anashushia na bapa la konyagi, don't try this at home mamen utakufa mapema jamaa kuna siku alinyoga misokoto mitatu usichokijua utamu wa bangi mvute wengi yaan usivute peke yangu ili usishikwe na wenge, Ila pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass mko wanne au watatu bangi inakua tamu sana, sasa jamàa msokoto mzima anakula peke yake na bapa pembeni jamaa alizima, narudia bangi alikua ananunua kisha anachukua mbegu tu anaroll kisha analipua umeme mbegu zinaenda kubust kwenye ubongo plus nyagi km yupo peponi vile alizima siku 2 hajitambui unacheza na bangi kaja kushtuka yupo hospital katundikwa dripu ya maji
Hizi ni mbwembwe tu, kwanza mbegu za bangi zina mafuta sana hivyo kuwasha mbegu pekee haiwezekani lazima msokoto uzime. We fikiria kama mtu unavuta bangi(majani) ikifika sehemu yenye mbegu kwenye msokoto moto unalipuka alafu baada ya hapo inazima.

Dogo haya mambo tupo ma legend ila tulishaacha long. Kifupi bangi haina issue ni ujana tu.
 
ok mimi nilivutia kwenye gazeti, je rizla inaongeza nini kwenye bangi?
Unaijua rizla kwanza ? Kifungashio Cha Tumbaku Cha zamani ambacho kimeachwa kiendelee kutumika kwa matumizi ya kunyongea bangi
 
Back
Top Bottom