Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
- Thread starter
- #81
acha kuzunguka zunguka nyooka!Unajua kwanini mtu akinunua rizla ananunua na Nyota au Sigara Kali ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kuzunguka zunguka nyooka!Unajua kwanini mtu akinunua rizla ananunua na Nyota au Sigara Kali ?
Asiejua maana haambiwi maana hawa ndio wale hujitia wavutaji kumbe hawajahi alafu wakipewa wavute wanashindwa kutembea wenyewe wanaanza kulia njiani tena wahuni walivyo washenzi watu km hawa wanawavutisha mchana wa jua kaliKwenye suala la uvutaji wa sigara bwege, watu wengi ni wanafiki.
Mtu hajawahi kuvuta anasema ameshavuta, na anaelezea vitu ambavyo havitokei ukivuta bangi.
Siku ukivuta bangi yenyewe, hurakuja kuzungumza hapa utapata curiosity, na utaquestion kil kitu ulichoaminishwa kwenye maisha yako . Kwa kifupi utazaliwa upya utakuwa timamu zaidi.
Kelele nyingi point za msingi hakuna...shauri yako kaa na imani yako
Nyoka kule mererani hua tunaingiaga migodini chaleangu unanielewa arifuacha kuzunguka zunguka nyooka!
Shida yenu mnavuta bushi weed halafu mnakuja piga keleleee weeeeeh!
Skia tafuta skunk...High grade from Soweto...Just one puff and feel that space
kina nani haoo?? Vichaa?Haelewi huyo mweleweshe vizuri atapigwa kitu ashindwe kunyanyuka kuna watu wanajua kupiga mkono kitu kinanyongwa ukija kuvuta unajisikia mujarabu kabisa
siona namna nyingine ya kukuaminisha. Baki hvyo hivyoHujawahi kuvuta acha basi kujifanya utakuja uumie siku ukivuta kweli
ni kweli wewe ni empty, unajijuwaWewe ni empty
Ameongea straight sana...Vijana chukueni point hapa...
wewe ili ufurahi; niseme "sijavuta!" hata hvyo hoja yangu sio kuvuta ama kutokuvutaAsiejua maana haambiwi maana hawa ndio wale hujitia wavutaji kumbe hawajahi alafu wakipewa wavute wanashindwa kutembea wenyewe wanaanza kulia njiani tena wahuni walivyo washenzi watu km hawa wanawavutisha mchana wa jua kali
Kuna wenzio walikua wanajifanya hivyo hivyo kwamba wao ni magwiji jamaa akaenda shop akanunua keki za bangi najua haujui km zipo Ila kuna keki za bangi yaan km ile unayokata ukumbini yes Ila ni bangi tupu akawapelekea awaone basi wajinga si wakala keki yote kilichofuata ilikua simulizi kuna mjinga alikua anakawaida ya kutuletea vidusko vikeki vidogo vimekaangwa na bangi (mbegu za bangi zinaswagwa zinamixiwa kwenye unga wa ngano) dusko zinakaangwa zikitoka hapo mnakula bangini kweli wewe ni empty, unajijuwa
[emoji38]nakwako piaUtakuwa kweli ni mbwa mshenzi kama hiyo avatar yako...pambafuu
View attachment 2643018
Ulishawahi kufukuliwa mtaro mkuu ? Unanishtua laaahaulaUkimalizana na hili njoo na Thread ya Wapenda Kufukua Mitaro tukutane hapa ili Wadau nasi tuelezee Utamu wake usiopimika.
Aaah nimewaona pale mkuuHio kesi nyingine sitaki hata kujaribu Ila kuna madogo ni ma-expert wapo chini ya Daraja la Kijazi wanavuta mpaka Diesel, petrol na gundi sio kokeni tu na wanapata stimu Safi kabisa,
unavyoizungumzia bangi sasa [emoji3] "bangi" "bangi" "keki za bangi" BANGI NI MBOGA najuwa hujuwi!Kuna wenzio walikua wanajifanya hivyo hivyo kwamba wao ni magwiji jamaa akaenda shop akanunua keki za bangi najua haujui km zipo Ila kuna keki za bangi yaan km ile unayokata ukumbini yes Ila ni bangi tupu akawapelekea awaone basi wajinga si wakala keki yote kilichofuata ilikua simulizi kuna mjinga alikua anakawaida ya kutuletea vidusko vikeki vidogo vimekaangwa na bangi (mbegu za bangi zinaswagwa zinamixiwa kwenye unga wa ngano) dusko zinakaangwa zikitoka hapo mnakula bangi
Yes wale kila kileta njonzi wanakijua,Aaah nimewaona pale mkuu
hivi unapovuta mbegu ikibasti ile paaaa!! inakuajeHizi ni mbwembwe tu, kwanza mbegu za bangi zina mafuta sana hivyo kuwasha mbegu pekee haiwezekani lazima msokoto uzime. We fikiria kama mtu unavuta bangi(majani) ikifika sehemu yenye mbegu kwenye msokoto moto unalipuka alafu baada ya hapo inazima.
Dogo haya mambo tupo ma legend ila tulishaacha long. Kifupi bangi haina issue ni ujana tu.
Nyinyi ndio hua mnafirwa siku ya kwanza baada ya kuvuta bangi sababu ya usenge wa kujifanya kujuaunavyoizungumzia bangi sasa [emoji3] "bangi" "bangi" "keki za bangi" BANGI NI MBOGA najuwa hujuwi!
endelea kuangalia movies