Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
anayesema akivuta ganja anaona mawenge anakuwa anadanganyaninyi mmekuja kunipinga oh hukuvuta bangi,,ulivuta mashudu! Oh kapirimpyempye sana!!
Je hyo kitu ya arusha kulingana na uorignal wake, wanavuta kina nani?? Maana nyie mlitegemea niwambie kuwa niliona mawenge ambayo mimi sikuyaona.
Hao watu wavutao bangi hyo hgh grade bado wana akili timamu au vichaa?? Wanavuta kina nani???
reduce anger otherwise yo will die early[emoji815]Wewe ni ni moja ya vichaa waliopewa vioo wakajiona ni wajanja na wao Wakaiatoa almasi kwa mikono yao...You fu**ckng poor and very stupid person
stori za kujitungia! Tena zinaaminiwa na wengi sana!anayesema akivuta ganja anaona mawenge anakuwa anadanganya
raha ya ganja ni kusizi na kutafakari mambo kwa kina hakuna mawenge hizo ni stori tu
huyo unakuwa ushajua kwamba hajawahistori za kujitungia! Tena zinaaminiwa na wengi sana!
Eti alivuta akavua nguo hapo hapo na kuanza kukimbia!![emoji848]
hiiiiiii!
I better be that big horse cause mimi ni jembe manne! And grants that umenipata hapo! π€£π€£π€£reduce anger otherwise yo will die early[emoji815]
Farasi wewe
Nakubaliana nawe lakin kuna kitu kimoja ambacho watu hawajui, bangi sio kwa kila mtu ova!mkuu bangi inavyozungumziwa ni tofauti na ilivyo! Shahidi mimi mwenyewe, nimevuta zaidi ya mara moja wala sijawahi kukimbilia chooni!
Skia bangi unaeza vuta ata gunia usipate stim lakin bangi inaitaji utulize akili na usiwe na mapepe labda ya kuona utaonwa ukivuta bangi inaitaji utulivu KAMA UNAONA UPATi STIM KABSA KULA SKANKI MZEE GRAM ELFU 2 AD EF3 ACHANA NA BANG ZA MIAMBILI KULA SKANKI NDO WASANII WAMBELE WANAKULA LAKIN SKANKI NIURAIBU ZAID KAMA UNGWA MADAWA INAAROSTO KALI NA UNASIZI KAMA HEROINmzee mimi mtu mzima naelewa nachozungumza! Ulishawahi kuvuta?
Huyo ndo mdau wa bangi na sahv ameshavutaUlishawahi kufukuliwa mtaro mkuu ? Unanishtua laaahaula
Hivi hii ni kwann mkuu?Unajua kwanini mtu akinunua rizla ananunua na Nyota au Sigara Kali ?
Moto unalipuka kama umewasha kiberiti vile alafu baada ya hapo inazima. Na mvutaji unashituka na kutoa mdomoni usiungue.hivi unapovuta mbegu ikibasti ile paaaa!! inakuaje
APA UMEANDIKA KWELI HAWA JAMAA WANATAFUTA LIKES LAKINI BANGI HAWAJAWAHI KUVUTAunatafuta likes hujawahi kuvuta
DAH BORA HATA UMETOKEA UWAPE DARASA KIDOGO WAACHE STORY ZA VIJIWENIanayesema akivuta ganja anaona mawenge anakuwa anadanganya
raha ya ganja ni kusizi na kutafakari mambo kwa kina hakuna mawenge hizo ni stori tu
ni wapi nimesema watoto wavute bang?mwandiko wa dume kabisa huu, lakini juzi tuliombwa ushauri amsahau ex wake akidai yeye ni wa kike.... anyway acha kupotosha jamii bila sababu za msingi,, watoto wa watu wakiharibikiwa wewe utapata faida gani
msiamini amini vitu kwa nadharia. Bangi inapewa sifa ambazo haina! Mtu akisikia "bangi" macho yanamtoka kumbe ni kitu normal tuHukuvuta bangi wewe ulipewa kushabu hizo.
hivi unapoleta ubishi kwa vitu usivyo na uhakika navyo unamaanisha nini? Kwamba wewe ndo unajua sana kuliko wengine?APA UMEANDIKA KWELI HAWA JAMAA WANATAFUTA LIKES LAKINI BANGI HAWAJAWAHI KUVUTA
hujasoma maoni hapo nyuma watu wakitoa ushuhuda (wa uongo) kwamba watu wao walikuwa nusu vichaa baada ya kuvuta bangi?DAH BORA HATA UMETOKEA UWAPE DARASA KIDOGO WAACHE STORY ZA VIJIWENI