Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwenyew unaonekana ni wa amani na upendo ntakuja kukusalimia pm [emoji12]Mungu ni mwema.
PM zangu zote zina watu makini, nabadilishana nao mawili matatu kwa Amani na Upendo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]PM zote ambazo nilipanga kuwasumbua nimekuta zimefungwa saivi napita mbali sana
Kaka unaniaibisha unataka nionekane sina akili..namkimbiaje kaka yangu?mimi kukuomba namba unanikimbia
undugu wetu unaishia wapi ?
Leo naona umetoroka kidogo kule maeneo yakoI miss you
Me kwakweli pm kuna watu ni wasumbufu mnooo yaan mno halaf sana maswali ya kijinga kama police na wanasalimia mnooo yaan kwa siku utasalimiwa hata mara 10Acha uchoyo Shunie, share nasi experience yako ya pyem bana
Hao sasa ndo wengi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
kwenye upendo sasa hapooooooMungu ni mwema.
PM zangu zote zina watu makini, nabadilishana nao mawili matatu kwa Amani na Upendo
Mi naomba tu mtu anielekeze kufunga pm
NimeshafikaTwende PM ASAP!
Shem inamaana umeshapata pedeshee mpya? Aisee haipendezi kumfanyia braza yetu hivyo . Roho inatuuma etiiEndelea kujua hvyo hvyo
Bujibuji we kiboko, nasikia ukiombwa hela hutoi unampa masharti ni kweli.Miss Natafuta Na Sky Eclat wanaujua muziki wangu PM.
Baada ya kupigwa kibuti Na Mamndenyi nilipagawa kabisa, hasira zangu nukazihamishia PM kusakasaka penzi jipya.
HR 666 njoo let us share the experience
Wana vimaswali vya kijinga kweliHalaf wana vimaswali hao
Shogaaa hatareee saana me sijibu watu hovyo kule hawachelewa ku-double ID naona kuchorana tuu,.eti MTU kajiunga ana masaa mawili tuu huyo pm kwako looh si utoto huo....Ina nini tena Shouger sababu sio kwa kicheko hiko. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo sisi ambao hatuna amani na upendo mbona mnatutengaWe mwenyew unaonekana ni wa amani na upendo ntakuja kukusalimia pm [emoji12]
Uje mapema kabla kale kazee hakajaona huu mwandiko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We mwenyew unaonekana ni wa amani na upendo ntakuja kukusalimia pm [emoji12]
Nishakaribia swahibaHahaaaa. Karibu Swahiba.
hiyo adha ya mikwara mm pia ilinipata hadi ikabidi na email yangu nikaiweke full private na maCode ya kutosha..Kipindi nikiwa mgeni nilijuutaa,yaan fulk kutishiwa mara usalama wa taifa mara sijui email yangu inaonekana hivyo ntakamatwa nikasema hee kwan kuingia JF dhambi
Wastaarabu wakanielewesha ni mbinu za kuogopesha watu humu hasa wakoromije kama mie haha
Ukiwa na waelewa PM hakuna stress wala ugomvi full burudani
Hahahaahaa. Pm bwana nenda ukiwa unajielewa ili usikere wenzio tu.Guys Pm ndo mtaa gani nielekeze na me nikapate rahaaa.....maana kwa ushuhuda huu....huu mtaaa co wa injiii hiii ni tupu...
Alimsingizia tu. Kupata mbunye JF sio kazi rahisi eti.Kumbe wanatia kihisia. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Ila huyu aliniacha hoi. Yule dada kila nikiona comment yake nawaza yule kaka alivyoandika.