Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hahahahahaaa.Pm bhana kuna mengi aiseee
Ukijiloga ufanye tu mistek kdogo
Unakuta umeanzishiwa Uzi
Ila pm n tamu Kwa kuombea
papuch ukiomba kistarabu
Unaila kama mahind choma vle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaaa.Pm bhana kuna mengi aiseee
Ukijiloga ufanye tu mistek kdogo
Unakuta umeanzishiwa Uzi
Ila pm n tamu Kwa kuombea
papuch ukiomba kistarabu
Unaila kama mahind choma vle
Mungu ni mwema.Miss Natafuta Na Sky Eclat wanaujua muziki wangu PM.
Baada ya kupigwa kibuti Na Mamndenyi nilipagawa kabisa, hasira zangu nukazihamishia PM kusakasaka penzi jipya.
HR 666 njoo let us share the experience
mimi kukuomba namba unanikimbia[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
hahaha inaonekana wengi PM wanaitumia kutakana tu na ndio tatizo hilo.Haa haa haa sema ukienda
Kiboya unajibiwaki boya zaid
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa. Ondoa shaka.Ukiona utachelewa pititsha
Kikaratas tu chin ya mlango ntakikuta
Ndio wale wale!uifunge ili iweje sasa![emoji3]Mi naomba tu mtu anielekeze kufunga pm
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] safi sana rafiki. Ukiona hivyo basi jua kwa asilimia zote na wewe unajielewa rafiki.
Hili ni funzo kwa wale wanaoleta maneno machafu kwenye PM za wenzao ili wajue wapo wanaojielewa na wastaarab wengi tu na wanakwenda na kupokelewa pia.
Mie Pia namshukuru Mwenyezi Mungu sijawahi kukaa na kuijutia Pm yangu. Hahaaaaa.
Utamu wa Jf n pm bhanaHahahahahaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ulinikataa kwakuwa sina msambwanda
Kama hujambo nafurahi kusikia hivyo.
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] aiseeKuna mmoja kaja juzi bila hata salamu eti demi nakutaka. Kha! Nikaishia kucheka tu
Nakusubiri pm umeona vitu vizuri wahi mamaMimi na wewe hatujawahi kupishana mkuu.
Hahaaaa. Karibu Swahiba.[emoji1] leo nitajaribu km imefunguliwa
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Kama hujambo nafurahi kusikia hivyo.
Ni wewe unavyoitumia pm kaka angu.Hiyo ni sababu kuu kwangu inanifanya niigope PM japo mara nyingine najiaminisha kwamba hali hiyo haitakuja kunitokea nikiamini kwamba wale ninaowasiliana nao Hilo hawatalifanya.
[emoji3] [emoji1] [emoji3]Itakua hujui tu kutumia mkuu
Wanajipigia upatu namda ndio msema kweli so sikilizia watakapoanza mitongozo yaoPm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
Halaf wana vimaswali hao[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena