Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Hili jukwaa nahisi mod Hata Mimi wamenipa access fake maana kila nikijaribu kwenda kufanya vurugu nakutana na kufuli kamanda
Comrade.....
Ebu ngoja niendelee kuangaza kama baby wangu atapita hii njia ili nimuulize kuhusu jukwaa la PM
 
Kipindi nikiwa mgeni nilijuutaa,yaan fulk kutishiwa mara usalama wa taifa mara sijui email yangu inaonekana hivyo ntakamatwa nikasema hee kwan kuingia JF dhambi

Wastaarabu wakanielewesha ni mbinu za kuogopesha watu humu hasa wakoromije kama mie haha

Ukiwa na waelewa PM hakuna stress wala ugomvi full burudani

Kabisa yaani na unafurahi na kupata Ndugu, Jamaa na Marafiki wasio kero wala bughudha.

Na bila kusahau kupeana mawili matatu kama yalee [emoji12] [emoji12] ya Emmy na Numbi wakikutana kule maeneo huwa hayaishi. Hahaaaaa.
 
Hahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM

Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....

Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....

Ilishanifanya nikachelewa mahali.....

Sina hamu na PM....

Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
😕😉😎😛😀😱
 
Back
Top Bottom