Comrade.....Hili jukwaa nahisi mod Hata Mimi wamenipa access fake maana kila nikijaribu kwenda kufanya vurugu nakutana na kufuli kamanda
Leo n sku yang na ww hukuLeo naona umeroka kidogo kule maeneo yako
Kipindi nikiwa mgeni nilijuutaa,yaan fulk kutishiwa mara usalama wa taifa mara sijui email yangu inaonekana hivyo ntakamatwa nikasema hee kwan kuingia JF dhambi
Wastaarabu wakanielewesha ni mbinu za kuogopesha watu humu hasa wakoromije kama mie haha
Ukiwa na waelewa PM hakuna stress wala ugomvi full burudani
Bora ww[emoji3]mi kuna uyo mmoja sijui alkurupukia wapi,anakuja bila hata salamu eti kutom......ni raha[emoji3]Kuna mmoja kaja juzi bila hata salamu eti demi nakutaka. Kha! Nikaishia kucheka tu
Wanakuja...
hata kushangaa nashindwa sisterKaka unaniaibisha unataka nionekane sina akili..namkimbiaje kaka yangu?
Wanajipigia upatu namda ndio msema kweli so sikilizia watakapoanza mitongozo yao
Naomba nikufuate pm nikupe neno la uzimaHahahaahaa. Pm bwana nenda ukiwa unajielewa ili usikere wenzio tu.
Yaan utafkili ana uwezo wa kukusaidiaWana vimaswali vya kijinga kweli
Ooohoo!huyo kwenye comment zake tu ni mtataοΌhuko pm si ndio itakua balaa!watu mna moyo!Aisee Jestkilla na wewe njoo toa list ya waliokufukuzia pm maaana nahis wengi sana tumekumezea mate . Especially wale Wana Chama wa jukwaa letu la kule chini....lol
Hee hee hee haya uko salama lknHahaaaa. Ondoa shaka.
Ewaaaa....We si umesema hukujui pm naona unatafuta kibuti kwa nguvu
HongeraPm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
jolie jolie vipi nije huko pm ?Bora ww[emoji3]mi kuna uyo mmoja sijui alkurupukia wapi,anakuja bila hata salamu eti kutom......ni raha[emoji3]
Nikajiuliza ni kisandu uyu au nani?
Yaaah hlo ndo ttz kubwa hawaitumiihahaha inaonekana wengi PM wanaitumia kutakana tu na ndio tatizo hilo.
ππππππ±Hahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM
Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....
Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....
Ilishanifanya nikachelewa mahali.....
Sina hamu na PM....
Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
Uongo wangu ni upi sasa hapoWe ni muongo kudadeki
kumbe hadi mimi ni mstaarabu au unanifichia ?Pm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
Yawezekana wakawa wastarabu piaBasi wavumilivu maana ni mwaka sasa bado tu wanajipigia upatu aiseee