Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Hili jukwaa nahisi mod Hata Mimi wamenipa access fake maana kila nikijaribu kwenda kufanya vurugu nakutana na kufuli kamanda
Comrade.....
Ebu ngoja niendelee kuangaza kama baby wangu atapita hii njia ili nimuulize kuhusu jukwaa la PM
 

Kabisa yaani na unafurahi na kupata Ndugu, Jamaa na Marafiki wasio kero wala bughudha.

Na bila kusahau kupeana mawili matatu kama yalee [emoji12] [emoji12] ya Emmy na Numbi wakikutana kule maeneo huwa hayaishi. Hahaaaaa.
 
πŸ˜•πŸ˜‰πŸ˜ŽπŸ˜›πŸ˜€πŸ˜±
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…