Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

kuomba no ya simu kawaida[emoji20] lkn japo inategemea ni kwa mlengo ganii!
Kuna kaka huyo mstaarabu sana kuna wimbo nliuhitaji akanambia nimpe namba ya wasap antumie na hataitumia hiyo namba tofaut na lengo husika...nashukuru hakunisumbua na alifanya alichokisema...

we kaka popote ulipo agiza soda nakuja kulipa
 
hahaha inaonekana wengi PM wanaitumia kutakana tu na ndio tatizo hilo.
Wengi kutakana ila wengine wanakuja kirafiki kabisa na mwingine hata kukutaka anakutaka kistaarabu mnakataana kistaarabu mnaendelea kuchat kistaarabu bado. Wengine jamani. Daaah. Mtu anakwambia anataka kufanya nini sijui tena bila hata salamu.
 
Kuna kaka huyo mstaarabu sana kuna wimbo nliuhitaji akanambia nimpe namba ya wasap antumie na hataitumia hiyo namba tofaut na lengo husika...nashukuru hakunisumbua na alifanya alichokisema...

we kaka popote ulipo agiza soda nakuja kulipa
Ha ha ha kamwambie huu ujumbe huko huko ulipompa namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…