Wengi kutakana ila wengine wanakuja kirafiki kabisa na mwingine hata kukutaka anakutaka kistaarabu mnakataana kistaarabu mnaendelea kuchat kistaarabu bado. Wengine jamani. Daaah. Mtu anakwambia anataka kufanya nini sijui tena bila hata salamu.hahaha inaonekana wengi PM wanaitumia kutakana tu na ndio tatizo hilo.
Asante sana kwa ushauri.....ila nahitaji mtu wa kunielekeza njiaHahahaahaa. Pm bwana nenda ukiwa unajielewa ili usikere wenzio tu.
Huku salama kabisa aisee namshukuru Mwenyezi Mungu. Sijui huko?Hee hee hee haya uko salama lkn
Muone sasa akili zako haziendani na tabasamu lako!!Hivi huku pia kuna akili?
Vitu vizuri umeniomba namba ya wakala nini unitumie hela mkuu?Nakusubiri pm umeona vitu vizuri wahi mama
Bae.....Pm yako inabidi unipe pasiwedi..maana sikuelewi kabisa
Nashukuru ngoja nikafanyie kazi mana dah!Hapo kwenye kuangalia notification tafuta neno privacy kisha angalia start conversation with u,hapo weka people u follow only unakua umemaliza kazi.
Za asubuhi swahibaBora aiseee Swahiba.
Kabisaaaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] hao una wa mute tyuu,
Saint Ivuga beb unaibiwa huku.We mwenyew unaonekana ni wa amani na upendo ntakuja kukusalimia pm [emoji12]
Halafu mbona sikupati kule shosti,umefunga nn mlango!????[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,Hahaaa. Anakupima imani.
Wa hivyo ni wakuwanyamazia tu mwaya.
[emoji1] [emoji1] umeamkaje?Suscribe kabsaa huu uzi utakimbia si mchezo watu wanaya kushuhudia mengi
Salama kabisa Swahiba kumekucha.Za asubuhi swahiba
achana na mimi nyau.. mimi vi andunje vipite kuleeeeMxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau
safiKuna kaka huyo mstaarabu sana kuna wimbo nliuhitaji akanambia nimpe namba ya wasap antumie na hataitumia hiyo namba tofaut na lengo husika...nashukuru hakunisumbua na alifanya alichokisema...
we kaka popote ulipo agiza soda nakuja kulipa
Mo11 usikuje uwiiiijolie jolie vipi nije huko pm ?
kama nikija nitajibiwa ?
Muone sasa akili zako haziendani na tabasamu lako!!
Hahaaahaaaa.......Wengi kutakana ila wengine wanakuja kirafiki kabisa na mwingine hata kukutaka anakutaka kistaarabu mnakataana kistaarabu mnaendelea kuchat kistaarabu bado. Wengine jamani. Daaah. Mtu anakwambia anataka kufanya nini sijui tena bila hata salamu.
Hahaaaa. Wapo wakuwafungia Shoga ila sio weye.Halafu mbona sikupati kule shosti,umefunga nn mlango!????[emoji23] [emoji23] [emoji23] ,