Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

hahaha inaonekana wengi PM wanaitumia kutakana tu na ndio tatizo hilo.
Wengi kutakana ila wengine wanakuja kirafiki kabisa na mwingine hata kukutaka anakutaka kistaarabu mnakataana kistaarabu mnaendelea kuchat kistaarabu bado. Wengine jamani. Daaah. Mtu anakwambia anataka kufanya nini sijui tena bila hata salamu.
 
Wengi kutakana ila wengine wanakuja kirafiki kabisa na mwingine hata kukutaka anakutaka kistaarabu mnakataana kistaarabu mnaendelea kuchat kistaarabu bado. Wengine jamani. Daaah. Mtu anakwambia anataka kufanya nini sijui tena bila hata salamu.
Hahaaahaaaa.......
Huo ndio utamu wa PM kumbe....[emoji2] [emoji2]
Cc: mods, naomba kuunganishwa kwenye jukwaa la PM tafadhali.

Thanks,
Regards,
jiwedogo.
 
Back
Top Bottom