Kama ninalo lisilozungumzika jukwaani naweza kuja? [emoji13] [emoji13]Sijawahi kuwa na haja ya kwenda PM kwa mazungumzo binafsi. Pia sipendi mtu anitafute PM kwa jambo linalozungumzika kwenye majukwaa.
umepotea hadi nimekukulupua ulipofichwa japo nilitamani nikufiche mimiNapupu kekiii babuuu!!!!
(aibu naona mimi)
Hahaha Shunie jamani, ndiyo maana siku hizi sipiti huko kusalimia, baada ya kuona umenichana live kwenye uzi flani.Nakumbuka ulizidi nawe young na masalaam yako kila mda na maswali
Jolie Jolie ndio maana nimewahi Leo pm kabla hujailock[emoji3][emoji3][emoji3]nakuchukuliaga kama comedian sana,usikuje pm utanvunja mbavu
Wewe ndio nini kumuita mwenzio andunjemy love mambo ya pm ni siri ya ndanii usiyatoe nje.
Pole sana.
Mimi Pm siku hizi nipo nayo makini sana sababu ya double ID mtu unachat nae kwa ID hii halaf anakuja na ID yake ya pili kukuchora....[emoji35] [emoji35]
Aisee...najiandaa kuokoka, seriously!Siku hizi nimemiss masham sham yako dem, nini kimekusibu?
Watu wa huko PM sio binadamu wa kawaida.Mh kwa nini
Nicome au nicum[emoji125] [emoji125] ngoja nicome[emoji3]huku kucum mmmhcum babe...
[emoji3][emoji3][emoji3] Mimi jamanHahaha Shunie jamani, ndiyo maana siku hizi sipiti huko kusalimia, baada ya kuona umenichana live kwenye uzi flani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeitunza maana baada ya kukutumia ule wimbo nilijitahidi kutokusumbua ili usihisi tofauti Ila nitakutafuta
HahahahaaDuh, haya njooni PM kwa wale walioko Kahama, Shy, Singida, Dodoma nitakua kwa GPS hizo, tuwasiliane tafadhali.
Acha roho mbayaKama kule nilishindwa kukujibu hapa sitaweza pia
HallelujahAisee...najiandaa kuokoka, seriously!
Yale matusi yalijitype sikukusudia Jolie JolieMwungine alikuja ananiimbisha mistari ya kitoto asee dah!!alivoona namtolea nje alintukana matusi sio ya hii sayari....
Mwisho ananiambia endelea kuringa,unakataa saivi badae unaanza kuhangaika kwa waganga upate dawa ya mvuto ili upewe hata salamu na hutoipata[emoji3][emoji3][emoji3]
Nlicheka tu mana napenda sana kucheka
Wewe Shunie, nikajisemea mwenyewe kama salamu tu ni hivi, Je kama ningetongoza sasa.[emoji3][emoji3][emoji3] Mimi jaman
At your own risk.Naomba nikujie PM sasahivi tafadhari ili niwe mmoja wa waliofaidi mautamu ya PM[emoji41]
Kuja unaweza kuja wakati wowote, tatizo lipo kwenye mapokezi.Kama ninalo lisilozungumzika jukwaani naweza kuja? [emoji13] [emoji13]
Asante Yesu kwa kua mdanganyi ameumbuka[emoji3][emoji3]kumbe kuna auntie af mi nataka kudanganywa iv ivUncle nafanyaje me kama auntie yangu unamsaliti hapa