Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Mwungine alikuja ananiimbisha mistari ya kitoto asee dah!!alivoona namtolea nje alintukana matusi sio ya hii sayari....
Mwisho ananiambia endelea kuringa,unakataa saivi badae unaanza kuhangaika kwa waganga upate dawa ya mvuto ili upewe hata salamu na hutoipata[emoji3][emoji3][emoji3]
Nlicheka tu mana napenda sana kucheka
Yale matusi yalijitype sikukusudia Jolie Jolie
 
Back
Top Bottom