Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kufa kabisa.Nikiona post za kasie nakua na hali mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa kabisa.Nikiona post za kasie nakua na hali mbaya.
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Kuna binti mmoja mke wa mtu ndio nilikuwa nachat nae sana pm lkn toka anitamkie maneno mabaya sitaki hata kumuona [emoji16][emoji16]
Mxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyauNikiona post za kasie nakua na hali mbaya.
Hahahaahaa.Mademu ndiyo wananitafuta mm DM sema wengine nawapotezea...
Ha ha maajabu ya pm hayoSema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
Kwani hujamubuloki bado?Mxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau
Kuna maajabu raha na karaha pm.Ha ha maajabu ya pm hayo
[emoji3] [emoji3]Mademu ndiyo wananitafuta mm DM sema wengine nawapotezea...
Mademu ndiyo wananitafuta mm DM sema wengine nawapotezea...
Duuuu ebanaeeeeee. Unaweza nifundisha na mimi nijue namna ya kuitumia Mzigua90 ?Sema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] poleesitasahau kuna dada aliandika anatafuta kampan na mtu wa kujirusha nae...nikajiona mjanja nikaenda pm fasterr...kimbembe yeye yupo dar mimi mkoa mwingine...yeye anakuaga sana bussy ila tulienda ivo ivo mpaka whatsApp...nilichokuja kuharibu niliweka dp inayoonyesha timetable ya UE(university exam) kipindi nipo chuo..
hapo hapo akasema ha date wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]...nikakosa papuchi jamani[emoji3]
Suscribe kabsaa huu uzi utakimbia si mchezo watu wanaya kushuhudia mengiNgoja ni subscribe kabisa
Siwezi hata kufundisha mkuu.Duuuu ebanaeeeeee. Unaweza nifundisha na mimi nijue namna ya kuitumia Mzigua90 ?