mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Haya poaSiwezi hata kufundisha mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya poaSiwezi hata kufundisha mkuu.
Hivi ni kweli unaweza kumblock mtu mmoja??Kwani hujamubuloki bado?
Bora aiseee Swahiba.Ngoja ni subscribe kabisa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Sikumbuki kama ile ilikua yako mkuuNiliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
Endelea kutojua hivyo hivyo.wengine wakina sisi bado hatujui kutumia vizuri hiyo PM, mnifundishage wajameni [emoji17]
Eeh unaweza.Hivi ni kweli unaweza kumblock mtu mmoja??
Kumbe ebu nielekeze mae kuna kimtu kinankera sanEeh unaweza.
Ntakuelekeza mwenzaKumbe ebu nielekeze mae kuna kimtu kinankera san
Hahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.wengine wakina sisi bado hatujui kutumia vizuri hiyo PM, mnifundishage wajameni [emoji17]
kweli unataka kunifungia hadi mimi ??Kumbe ebu nielekeze mae kuna kimtu kinankera san
nilikufuata na hii hii ila ukweli ndio huo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Sikumbuki kama ile ilikua yako mkuu
mambo suzanSema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
Kweli lakini wengine wanashindwa kuelewa kule ni kama huku mtaani tu. Kuna mtu mtakua mshkaji mwingine atakua beb mwingine atakua mtoto kaka dada etc na wengine pia huwez kuclick nao. Mwingine akija pm anataka mzoeane wakati wewe unaona kabisa huwezi kumfanya hata kuwa babu yako. Kuna watu wanakuja pm wanachat kishkaji kabisa hamna hata kuombana nambaHahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.
Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba unaunganishwa na PM sababu ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
napitwa na mengi kumbe sasa!![emoji20]Endelea kutojua hivyo hivyo.
Jamani karibu mi siringi bwana pm huwa najibu mtu nikiwa na nafasi.nilikufuata na hii hii ila ukweli ndio huo
Suzan ndo nani mkuu?mambo suzan
Asantee [emoji2][emoji4][emoji2][emoji4]Hahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.
Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba, Uhasama unaunganishwa na PM maana ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
Na wewe kwanini usijifunze lakini? Unafelinapitwa na mengi kumbe sasa!![emoji20]
Njoo pm emmytaHahaaaaaa. Aiseeeee.
Jf raha sana.
Duhhhh aliinusuru ndoa yake kikomandoKuna binti mmoja mke wa mtu ndio nilikuwa nachat nae sana pm lkn toka anitamkie maneno mabaya sitaki hata kumuona [emoji16][emoji16]