Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Hahahahaha
niliingia PM moja hiyooo....unaambiwa no kidhungu no service mpaka leo naziogopa pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niliingia PM moja hiyooo....unaambiwa no kidhungu no service mpaka leo naziogopa pm
Hao unaosema umefanikiwa unamaanisha ulipiga kipapa au kufanikiwa kupi?Niliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
Unavujisha siri hakuna sababu ya kuwa na pm huna kiapo mkuuNiliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23] poleeee
Mmh. [emoji124] [emoji124] [emoji124]Emmyta jamanii..!! Sasa namtafutaa mama sabrinaa....anipe mambozz
espy njoo huku. Jamaa kasema amekukula!Niliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
Mgosi pm yako kila nikijaribu naona imefungwa,au ndio sijui namna ya kuitumia hiyo pm!Siwezi hata kufundisha mkuu.
Nitakuja PM kwako siku moja.wengine wakina sisi bado hatujui kutumia vizuri hiyo PM, mnifundishage wajameni [emoji17]
Hivi hiyo PM ndio ipo jukwaa gani wakuu.....
Maana nilisha hangaika sana tafuta kuona hilo jukwaa la PM, lakini niliishia kuambulia patupu.....
wengi Huwa wanatiaga kimoyomoyo halafu wanajiaminisha kuwa wametia physicallySema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
Nifanyeje sasa zaidi ya kufurahi...Umefurahiaaa
Usiende kujiangalia kwny kioo tuNifanyeje sasa zaidi ya kufurahi...
Duuh aiseee[emoji15] [emoji15]Sema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
We mama akili unapeleka wapi yani we ni michambo daily!!Ha ha haaa,
tatizo huna mapenzi,
uko juu juu kama mkungu wa ndizi;
Ahahah poyeeniliingia PM moja hiyooo....unaambiwa no kidhungu no service mpaka leo naziogopa pm