mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Hahaaaa akyanani, mie ni kucheka tu leoMxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa akyanani, mie ni kucheka tu leoMxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau
Hahaa jambazi acha kujipa ujikoMademu ndiyo wananitafuta mm DM sema wengine nawapotezea...
Lzm uwe msomaji,sbb unakosa raha ya pm sababu ya kuifunga pm yakoAcha niwe msomaji tu
Sikumbuki lini nimejitazama kwenye kiooUsiende kujiangalia kwny kioo tu
Sasa unataka uringe mwanaume si utaitwa shoga.Kuna wanawake wanaringa huko PM.
karibu sana demiNitakuja PM kwako siku moja.
Sikumbuki lini nimejitazama kwenye kioo
Ndo hivyoAcha uongo ww
Usicheke kwa nguvuHahaaaa akyanani, mie ni kucheka tu leo
Hii ni fedheha kubwa sana comrade, haiwezekani muhenga sijaunganishwa na jukwaa la MP ambapo naona watu mnakulana paradiso tu....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Comrade nasikia hadi upande baiskeli kufika hilo jukwaa Kama ulitembea kwa miguu ndio maana ulifail
Hiyo ni sababu kuu kwangu inanifanya niigope PM japo mara nyingine najiaminisha kwamba hali hiyo haitakuja kunitokea nikiamini kwamba wale ninaowasiliana nao Hilo hawatalifanya.Pole sana.
Mimi Pm siku hizi nipo nayo makini sana sababu ya double ID mtu unachat nae kwa ID hii halaf anakuja na ID yake ya pili kukuchora....[emoji35] [emoji35]
Naomba nifungulie pm bet shunieAcha niwe msomaji tu
Hahaaaa wee dada unanichekesha sanaKumbe ebu nielekeze mae kuna kimtu kinankera san
[emoji23][emoji23][emoji23]sitasahau kuna dada aliandika anatafuta kampan na mtu wa kujirusha nae...nikajiona mjanja nikaenda pm fasterr...kimbembe yeye yupo dar mimi mkoa mwingine...yeye anakuaga sana bussy ila tulienda ivo ivo mpaka whatsApp...nilichokuja kuharibu niliweka dp inayoonyesha timetable ya UE(university exam) kipindi nipo chuo..
hapo hapo akasema ha date wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]...nikakosa papuchi jamani[emoji3]
Uko ulipo hamna kioo?!au unataka kuniambia ww hujitazami kwny kioo hata mara 1Ndo hivyo