Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni muongo kudadekiMademu ndiyo wananitafuta mm DM sema wengine nawapotezea...
Kuringa kwa kutokutaka mchat na mwenzio siyo vizuriSasa unataka uringe mwanaume si utaitwa shoga.
[emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji17]Hahaaaa wee dada unanichekesha sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We mama akili unapeleka wapi yani we ni michambo daily!!
Ha ha haaa,
tatizo huna mapenzi,
uko juu juu kama mkungu wa ndizi;
Kuna raha gani sasa huko pm zaidi ya kuja kusalimiwa tu kwa siku hata mara 10 mtu akitoka akija ye salaam tuLzm uwe msomaji,sbb unakosa raha ya pm sababu ya kuifunga pm yako
NitakufunguliaNaomba nifungulie pm bet shunie
Ingia Pm[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahaaaaaa. Aiseeeee.
Jf raha sana.
Huwa najitazama labda mara moja kwa wiki sio kila siku.Uko ulipo hamna kioo?!au unataka kuniambia ww hujitazami kwny kioo hata mara 1
Teh teh teh...Niliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] safi sana rafiki. Ukiona hivyo basi jua kwa asilimia zote na wewe unajielewa rafiki.Pm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
Asante sanaPm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
Najua lazima ukague mzigo tuHuwa najitazama labda mara moja kwa wiki sio kila siku.
Hii ni fedheha kubwa sana comrade, haiwezekani muhenga sijaunganishwa na jukwaa la MP ambapo naona watu mnakulana paradiso tu....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kwani kuchat lazimaa Kah.Kuringa kwa kutokutaka mchat na mwenzio siyo vizuri
Kumbe ndio maana sikufanikiwa [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
[emoji28] [emoji28] [emoji39]Umeonaeee. Kweli kabisa.
Na unaweza kuta mtu hata namba yake huna ila mmezoweana kama mshawahi onana vile.
Nyie na Saint Ivuga lazma mlifikia muafaka tuu... sisi tunakutambua kama shemeji yetu sio vinginevyoMxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau