Hahaaa hapa leo mi ni kucheka tu best.Sioni ukitiririka best. [emoji85]
nitumie namba yako tena kwenye textNitumie bas tigopesa babee
Ndugu yangu usizoom wataongeza competition wakati nikikuwa pekee yangu
haha
Kwendraaaaaaanitumie namba yako tena kwenye text
Kuna watu uamini hakuna maongezi mengine zaidi btn me&ke zaidi ya mambo ya kikubwa.hahaha inaonekana wengi PM wanaitumia kutakana tu na ndio tatizo hilo.
wewe mtoto hivi pm yako ipo wazi?
haha
sas umenibeep?Kwendraaaaaaa
Haya Mimi nilianza kushangaaaaaa(gwajima voice)Sijakutenga rafik angu kipenzi nakuja na huko
Wanaona mlima huo kwenye avatar basi mate yanawatoka ,wanataka waone yaliyomo yamo.Shenzi zaoo!
Nakuja kukuelekezaMi naomba tu mtu anielekeze kufunga pm
Huyo kizee tayar tu ni ugonjwa tosha alivyo tongoza tongozaa kila mtu akimwona sahv anam mendea kassie naona wataendana mana ni kibibi na kibabuSitaki utuletee magonjwa nyumbani.
Hahaaa hapa leo mi ni kucheka tu best.
Mi nahisi PM yangu haina soko best, tatizo huu uhenga nahisi, teh! So sijawahi kutana na hivi vimbwanga
Halafu PM members wangu hawazidi 3, ni wahenga wenzangu, hatunaga kuchat chat kivile pyem, tulishahamiaga zetu Whatsapp na tunafahamiana
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kwendraaaaaaa
Unapagawa na pajaaaNimekutumia pm zaidi ya message 51 Ila naona kimya
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Hahaaaa. Nimepata Ndugu, Wadogo, Makaka, Madada ambao wananithamini na mimi pia nawathamini sana tu na tunasaidiana kwa hali na mali na ndio sababu ya kutokujutia Pm yangu.
mxiuuu.Sijakutenga rafik angu kipenzi nakuja na huko
hahaaa itakuwa ni nabii tito huyoBora ww[emoji3]mi kuna uyo mmoja sijui alkurupukia wapi,anakuja bila hata salamu eti kutom......ni raha[emoji3]
Nikajiuliza ni kisandu uyu au nani?
😱😱😱😱 Ukamjibuje jolie!?Bora ww[emoji3]mi kuna uyo mmoja sijui alkurupukia wapi,anakuja bila hata salamu eti kutom......ni raha[emoji3]
Nikajiuliza ni kisandu uyu au nani?
Wengine wanaanza hivi..dada nimevutiwa sana na comments zako, uko vizuri!ivi mnaanzanaje huko pm..au mtu anasoma comments zako then ndio anapata wazo la kuja pm
manake mi nikishasoma thread humu nduki naendelea na mengineyo