Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Sioni ukitiririka best. [emoji85]
Hahaaa hapa leo mi ni kucheka tu best.

Mi nahisi PM yangu haina soko best, tatizo huu uhenga nahisi, teh! So sijawahi kutana na hivi vimbwanga

Halafu PM members wangu hawazidi 3, ni wahenga wenzangu, hatunaga kuchat chat kivile pyem, tulishahamiaga zetu Whatsapp na tunafahamiana
 
431952.jpg

haha
Ndugu yangu usizoom wataongeza competition wakati nikikuwa pekee yangu
 
Hahaaa hapa leo mi ni kucheka tu best.

Mi nahisi PM yangu haina soko best, tatizo huu uhenga nahisi, teh! So sijawahi kutana na hivi vimbwanga

Halafu PM members wangu hawazidi 3, ni wahenga wenzangu, hatunaga kuchat chat kivile pyem, tulishahamiaga zetu Whatsapp na tunafahamiana

Hahaaa. Hongera zako best. Hiyo poa sana aisee.

Ila kuna vibwanga sana huko maeneo yaani wacha kabisa.
 
Hahaaaa. Nimepata Ndugu, Wadogo, Makaka, Madada ambao wananithamini na mimi pia nawathamini sana tu na tunasaidiana kwa hali na mali na ndio sababu ya kutokujutia Pm yangu.
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
ivi mnaanzanaje huko pm..au mtu anasoma comments zako then ndio anapata wazo la kuja pm
manake mi nikishasoma thread humu nduki naendelea na mengineyo
Wengine wanaanza hivi..dada nimevutiwa sana na comments zako, uko vizuri!
Mwingine: nipe namba tuchat namba yangu ni +81888...
Mwingine: Mambo mpenzi.. (anakuita mpenzi wakati hata id yake huijui ndo unaiona saa hizo)
 
Back
Top Bottom