Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah,huyu bila shaka alikuwa dada yake nduli, hawezi kukufanyia unyama huo mtoto wa mwanamke mwenzake, mapenzi yanauma jamani, yaani mtu amekuvuta mpaka kileleni halafu anakuachia kama jiwe ghorofani,pole sana mwanafunzi wa UD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…