Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikirud nitakutagHiyo ni man-made beach au umerudi kanda ya pwani?
Kumbe umefunga???Haaaaa Subiri niongeze kufuli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah,huyu bila shaka alikuwa dada yake nduli, hawezi kukufanyia unyama huo mtoto wa mwanamke mwenzake, mapenzi yanauma jamani, yaani mtu amekuvuta mpaka kileleni halafu anakuachia kama jiwe ghorofani,pole sana mwanafunzi wa UDsitasahau kuna dada aliandika anatafuta kampan na mtu wa kujirusha nae...nikajiona mjanja nikaenda pm fasterr...kimbembe yeye yupo dar mimi mkoa mwingine...yeye anakuaga sana bussy ila tulienda ivo ivo mpaka whatsApp...nilichokuja kuharibu niliweka dp inayoonyesha timetable ya UE(university exam) kipindi nipo chuo..
hapo hapo akasema ha date wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]...nikakosa papuchi jamani[emoji3]
AyaaayaaayaayaaCheki anavowaambia ye ndo atumiwe pm ili apate pa kuanzia[emoji116]
Situmi nyau mwenyewpost yangu ii ni a 40,000 naidedikate kwako.. ila utumu ile kitu we nyau, mxiu
hahaaa mkuu avatar yko huwa yaniachaga hoi mno yani
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji134]Kumbe umefunga???
Nifungulie dadangu kipenzi
Nina habari njema
nai hack watsapp yako.Situmi nyau mwenyew
Sasa mimi wenye flat ndo mahala pake, lakini misambwanda ni mizuri kuona tu.Wenye flat screen tunashida
Nilijua PM ya mzigua90 imefungwa kumbe ipo wazii.[emoji124] [emoji124] [emoji124]Nyooooo.
Tumbaku gosho iliyolowanahahaha eti tukuyu ..hapo mwisho malizia inanuka kama tumbaku
Nilikwambiaje?[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji134]
Papa Haina utamu, mpaka upigwe kolabo Na muhogoUtamuuu utamuuu
Nyooooasante love. fanya mambo basi
Acha utani niwape avatarWanaume wanapenda vitu vizuri ,,wasikilizeee
Nikumbushe jirnNilikwambiaje?