Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

mimi niliwahi mtokea Cassie wakati wa ile avatar yake bomba ya mwanzo lakini to aweke avatar bibi kikongwe wala
 
Dah ngoja na mimi nianze kusumbua au nimechelewa?
 
sasa yanauma vipi mkuu...wakati hata kushirikiana nae as mapenzi yanavyotka unakuwa hujashiriki nae...yaani hujawahi sex nae ..hujawahi shirikiana nae movement muhimu kabisa ambazo mapnzi huwa yanahitaji..WAANZAJE KUUMIA SASA ..HUO UTAKUWA NI UBOYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…