Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Hahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM

Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....

Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....

Ilishanifanya nikachelewa mahali.....

Sina hamu na PM....

Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
mimi niliwahi mtokea Cassie wakati wa ile avatar yake bomba ya mwanzo lakini to aweke avatar bibi kikongwe wala
 
Dah ngoja na mimi nianze kusumbua au nimechelewa?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah,huyu bila shaka alikuwa dada yake nduli, hawezi kukufanyia unyama huo mtoto wa mwanamke mwenzake, mapenzi yanauma jamani, yaani mtu amekuvuta mpaka kileleni halafu anakuachia kama jiwe ghorofani,pole sana mwanafunzi wa UD
sasa yanauma vipi mkuu...wakati hata kushirikiana nae as mapenzi yanavyotka unakuwa hujashiriki nae...yaani hujawahi sex nae ..hujawahi shirikiana nae movement muhimu kabisa ambazo mapnzi huwa yanahitaji..WAANZAJE KUUMIA SASA ..HUO UTAKUWA NI UBOYA
 
Back
Top Bottom