nmekipokea 🙁🙁🙁Na nyie mnakua kama hamtujui dada zenu. Sisi wenyewe kuna muda hatujielewi. Kuna mtu ukimfuata umwambie kama nakutaka tukalane kama anakuelewa wala hamind. Mwingine ukimwambia hivyo unakula na block. We utakachokutana nacho huko pm kipokee tu
Kwani hatari mtu kwenda PM?Mmh yamekuwa hayo tena mkuu?!
Si hatari.Kwani hatari mtu kwenda PM?
Unanisingizia sijafungaKuna siku nilitaka kuomba msaada wa kuunblock pm ya mtu alie block pm yake. Nilichanganyikiwa ni kiface cha mzigua lkn kablock pm yake
Jisafishe tu mbele ya uma nadhani nimepata fursa ya kutembelea huko pm, some time kiki kama hizi zinazaa matundaUnanisingizia sijafunga
PERSONAL MONEY(jocking)Mi mgeni humu pm ni nini jamani?
Mwanao huyo babe.
Sifanani na avatar yangu. KabisaaaKuna siku nilitaka kuomba msaada wa kuunblock pm ya mtu alie block pm yake. Nilichanganyikiwa ni kiface cha mzigua lkn kablock pm yake
Bado hujanishawishi nisije. Cha msingi niseme niwazayo kichwani nipunguze mzigo moyoniSifanani na avatar yangu. Kabisaaa
Anakusalimia piaMsalimie....
Kweli mkuu avatar yangu na mie hatulinganiBado hujanishawishi nisije. Cha msingi niseme niwazayo kichwani nipunguze mzigo moyoni
Utalangana na mimi basi kama avatar ni ndogo kuliko wewe, nadhani nitakiwa size kama yako mkuu.Kweli mkuu avatar yangu na mie hatulingani
Kuna qumer mmoja that time facebook.....akaniuliza unafanya nini nikamwambia nipo chuo...( kwa kuwa hakujua kuna ambao wanasoma na wapo inservice ) akaniambia si date na wanafunzi nikamwambia poa, alikuwa ameshanitumia namba zake nikamtumia laki 5 tigo pesa, then nikairudisha. Baadae ananitafuta nikamwambia mimi ndio yule mwanafunzi. Alinisumbua karibia mwaka mzima.sitasahau kuna dada aliandika anatafuta kampan na mtu wa kujirusha nae...nikajiona mjanja nikaenda pm fasterr...kimbembe yeye yupo dar mimi mkoa mwingine...yeye anakuaga sana bussy ila tulienda ivo ivo mpaka whatsApp...nilichokuja kuharibu niliweka dp inayoonyesha timetable ya UE(university exam) kipindi nipo chuo..
hapo hapo akasema ha date wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]...nikakosa papuchi jamani[emoji3]
Avatar imenizidiUtalangana na mimi basi kama avatar ni ndogo kuliko wewe, nadhani nitakiwa size kama yako mkuu.
Nakuja ivo ivo mkuuAvatar imenizidi