Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Golden chance hii, nitafurahi sana ujue we fundi mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji1]Tuimbe wote fundiiii
Walaa.Wewe sukari ya warembo mi sikuwezi
Ahsante kwa taarifa. Nlikuwa sijui. Naahidi kuendeleza ustaarabu wangu kwenye PM
Thank you honey...Hubby nilikuwa ninakutengenezea lunch
Teh..fundi weweeeeGolden chance hii, nitafurahi sana ujue we fundi mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
hahahahahaaaaaaaaaaTeh..fundi weweeee
Hahaaa. Siwezi kusahau aisee.Naandaa karatasi na daftari kabisa. Usinisahau mie
Hahaaaaa. Yaani hapa nauchungulia tena duuh. Umekimbia hatari.Basi labda usilale kabisa leo best, manake unavokimbia....khaaa!!
Mie naondoka narudi nachungulia naondoka tena, hivooo!! Na bado sijamaliza
Alafu jana nmekuota etiii!!
Sawa Babu. Uwe na siku njema salimia wote.Nimefurahi sana kusalimiwa na wewe.
Nimefarijika sana, ahsante sana.
Achana na mtoto wangu wa kitanga huyo...
Nawe pia uwe na siku yenye furaha na mafanikio teleSawa Babu. Uwe na siku njema salimia wote.