Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajilipua tu. Utakachokutana nacho basi.
Mi nawatumiaga ya kamanda TibaiganaKwa wale wanaopenda haraka kutaka pic yako kukujua tunawatumia za kudownload za insta
Wanakuwa hawana hata hela ya gesti. JF wana peruse via www.freebasics.comHafu kama huyo siku ingine fanya kama chizi flani kubali mpaka nukta ya mwisho uone ni mtu kweli
Uchawi tu....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] direct to the point
Asante.Pole sio wote ni vivulana lakini
NashukuruAisee, poleni sana.
Duh!Duh kuna mashoga humu waliwahi kunisumbua sana ctaki hata kuwasikia
Anakusalimia pia
Tujaribu kuchangia mada kulingana na majukwaa mkuu itapendeza zaidi......
Wewe sukari ya warembo mi sikuweziBabe .
Nakuangalia tu unavyoni skip. Embu nichek pm
Kuna kawimbo naimba hapaWewe sukari ya warembo mi sikuwezi
Tuimbe wote fundiiiiKuna kawimbo naimba hapa
Ahsante kwa taarifa. Nlikuwa sijui. Naahidi kuendeleza ustaarabu wangu kwenye PMMstaarabu nambar one(sijamaanisha chama ee hahahaa)
Nimefurahi sana kusalimiwa na wewe.Babu mie nakusalimia tu.