Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Mimi bwana kuna mtoto kule pande ya Mleba, niko hoi lakini wala hajastuka!!
 
Hahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM

Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....

Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....

Ilishanifanya nikachelewa mahali.....

Sina hamu na PM....

Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
Daby Bro Mungu anakuona..
 
Sema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
Teh teh..
 
Back
Top Bottom