Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Valentine mwaka huu, itakuwa siku ambayo waumini wa kanisa katoliki la mitume TUNAANZA KWARESMA (Mfungo), itaangukia siku ya Jumatano ya majivu.Mm Mzma tu napambana na msimu wa wapendanao miss u
Karibu sanaLeo natia timu mitaa ya Salasala... nitafute nikuchape na balimi kadhaa
Mchagga usha potezwa wewe, Moshi wasubiri jeneza tuAchana na mtoto wangu wa kitanga huyo...
Anayonipa nayajua mwenyewe...
Nilisahau Asante Kwa kunikumbusha Dada anguHii Valentine mwaka huu, itakuwa siku ambayo waumini wa kanisa katoliki la mitume TUNAANZA KWARESMA (Mfungo), itaangukia siku ya Jumatano ya majibu.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji106]Nawe pia uwe na siku yenye furaha na mafanikio tele
Kwa hiyo siku hiyo "hutajilipua?" hahahahahahahahhahaahahaNilisahau Asante Kwa kunikumbusha Dada angu
Wakunilipua mwenyewe ameshanikimbia tayar sna ujanjaKwa hiyo siku hiyo "hutajilipua?" hahahahahahahahhahaahaha
Daby Bro Mungu anakuona..Hahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM
Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....
Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....
Ilishanifanya nikachelewa mahali.....
Sina hamu na PM....
Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
tafuta, substitute 😀😛😀😛Wakunilipua mwenyewe ameshanikimbia tayar sna ujanja
Ngoja nitafute tu wa kunikampan kwenda kanisantafuta, substitute 😀😛😀😛
Pole BabuAlmanusura niwehuke...
Evelyn Salt Ndo mana Nakuogopa MpendwaNiliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
Teh teh..Sema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
Utakuwa upo serious sana..WanakuogopaNaipenda Pm ila sipatagi jamani why