Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahaaa. Mie pia umenishinda best.Hahaaa jitahidi kuumaliza best unipe summary, teh! mwenzio nimechemsha, hapa nasoma notifications tu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa. Mie pia umenishinda best.Hahaaa jitahidi kuumaliza best unipe summary, teh! mwenzio nimechemsha, hapa nasoma notifications tu sasa
Hahaa pole bestHahaaa. Mie pia umenishinda best.
Hahaaa. Ahsante sana best.Hahaa pole best
Ahahahahah, nakumbuka na mimi nshakufuataga pm na ka ID kangu kengine, tulichat sana ila kitu nilipenda uko humble sana, mcheshi flan hvi. Miaka miwili imepitaHahahhaha poleeee, mie sina hamu na PM
Ilishanifanya nikakesha hadi kunakucha. .....
Ilishanifanya nikashinda njaa kutwa nzima.....
Ilishanifanya nikachelewa mahali.....
Sina hamu na PM....
Ngoja waje walionisababishia yote haya kama watajitaja. Tatizo langu ni kuwa napenda sana kuongea siwezi kuacha kuongea.
Shikamoo InnaMxxiee...mbona husemi ulivyonisumbua we nyau
We kimtu nmekumiss...usijee pm lknShikamoo Inna
Yaan, nilipoona huu uzi, jina lako likaja akilini.We kimtu nmekumiss...usijee pm lkn
Jitaje bas ulinsumbua sumbua pm kidogoYaan, nilipoona huu uzi, jina lako likaja akilini.
Wewe mbaya sana
Nakuvutia Kasi.Jitaje bas ulinsumbua sumbua pm kidogo
Aisee huku hayupo kwa kweli, halafu hadi dota wake Heaven Sent naye haonekaniHivi dada yako espy yupo kwenu??
Shida itakuwa nn..Kaka mtu Ebu fuatiliaAisee huku hayupo kwa kweli, halafu hadi dota wake Heaven Sent naye haonekani
Hahaaa. Ahsante sana best.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kuna kipindi alikuwa analalamika matumizi hutoi, so may be kaenda kwa shangazi kulalamika. Ila kwa heshima yako ntafuatilia huko hukoShida itakuwa nn..Kaka mtu Ebu fuatilia
Teh teh..Dada yako haridhiki..Ebu fuatilia bwana shemejiKuna kipindi alikuwa analalamika matumizi hutoi, so may be kaenda kwa shangazi kulalamika. Ila kwa heshima yako ntafuatilia huko huko
Haha hebu mwachie kidogo bwana nina biashara nae ya muhimu sananimemkipu bize