Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
AiseeKuna raha gani sasa huko pm zaidi ya kuja kusalimiwa tu kwa siku hata mara 10 mtu akitoka akija ye salaam tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKuna raha gani sasa huko pm zaidi ya kuja kusalimiwa tu kwa siku hata mara 10 mtu akitoka akija ye salaam tu
my love mambo ya pm ni siri ya ndanii usiyatoe nje.Kama sio wewe vile ulikuwa unaimbisha unamwaga hadi mchozi
Nifundishe namiiiKweli lakini wengine wanashindwa kuelewa kule ni kama huku mtaani tu. Kuna mtu mtakua mshkaji mwingine atakua beb mwingine atakua mtoto kaka dada etc na wengine pia huwez kuclick nao. Mwingine akija pm anataka mzoeane wakati wewe unaona kabisa huwezi kumfanya hata kuwa babu yako. Kuna watu wanakuja pm wanachat kishkaji kabisa hamna hata kuombana namba
cum babe...[emoji23] [emoji23] [emoji23] nakuja
Abeeh Ivugashuniee
Nimeitunza maana baada ya kukutumia ule wimbo nilijitahidi kutokusumbua ili usihisi tofauti Ila nitakutafuta[emoji3][emoji3]kichwa kichafu store inatafuta nn
Nakumbuka ulizidi nawe young na masalaam yako kila mda na maswaliUnakumbuka ulivyonipiga kibuti kule PM
Kiukweli mitihani Wa ustaarabu nilizungusha zero ngoja nisubiri wageni Wa jf najua wao hawajui kufuli
Uncle nafanyaje me kama auntie yangu unamsaliti hapahivi Shunie hunioni au makusudi tu ??
yaani hata Jolie Jolie ananiwekea mipaka wewe upo unaangalia tu ??
aiseew
sitembei na visu siku hiziHapa tu unalalamika ivi,ukija pm si utanchoma kisu kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]haya kama huna nissan nyeupe njoo
acheni kufukua makaburi wapendwaa [emoji20][emoji1][emoji1]Weeee. Hii ikisemwa nambie.
Kabisa hapo hapo sina kingineVitu vizuri umeniomba namba ya wakala nini unitumie hela mkuu?
Siku hizi nimemiss masham sham yako dem, nini kimekusibu?[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja niwe ndugu mtazamaji
[emoji1] unamjua nini swahiba [emoji23]Hahaaaaaa.
Naomba nije pmMo11 usikuje uwiiii
Mh kwa niniMimi PM yangu nimeifunga rasmi mwezi Januari mwaka huu, sitaki tabu tena nimechoka.