Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Ni kweli kwa mimi hao wanasema wanafwatwa ni kutongozwa si vinginevyo.Nawafata wengi tu..tatizo lenu mnajua PM ni mambo ya kubanjuana tu. Wakati mwingine tunahitaji marafiki, tena urafiki unabaki kuwa wa jf pekee na si zaidi ya hapo.
Kwa aina hiyo usemayo inawahusu wengi si pekeako huwezi acha kumfata mtu ukiwa na dharula