Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Unajua tatizo la wanaume wengi wanachoharibu pm ile kutaka kukujua mapema kutaka kuomba umtumie picha au kuomba no ya simu upapara wenu huo ndio mnahoaribu

Mzoee mtu kwanza muwe marafiki tu wala usiwe na papara ya kutaka no ya simu au picha mpaka mzoeane kabisa

Sasa we kuingia pm tu unaanza masalaam shunie naomba nitumie pic nikuone khaaa pic yangu ya ninii ndio mana tunawatumua pic za kudownload muangaike nazo

Halaf kingine maswali maswali yenu mengiii mnakera mnooo
 
Unajua tatizo la wanaume wengi wanachoharibu pm ile kutaka kukujua mapema kutaka kuomba umtumie picha au kuomba no ya simu upapara wenu huo ndio mnahoaribu

Mzoee mtu kwanza muwe marafiki tu wala usiwe na papara ya kutaka no ya simu au picha mpaka mzoeane kabisa

Sasa we kuingia pm tu unaanza masalaam shunie naomba nitumie pic nikuone khaaa pic yangu ya ninii ndio mana tunawatumua pic za kudownload muangaike nazo
Hahahaa. Kwanza inatakiwa kabla hujaomba picha utume yako kwanza ndo uombe yangu. Ukimaliza kutuma picha unataja na umri wako kuzuia kuchat na watoto.
 
Unajua tatizo la wanaume wengi wanachoharibu pm ile kutaka kukujua mapema kutaka kuomba umtumie picha au kuomba no ya simu upapara wenu huo ndio mnahoaribu

Mzoee mtu kwanza muwe marafiki tu wala usiwe na papara ya kutaka no ya simu au picha mpaka mzoeane kabisa

Sasa we kuingia pm tu unaanza masalaam shunie naomba nitumie pic nikuone khaaa pic yangu ya ninii ndio mana tunawatumua pic za kudownload muangaike nazo

Halaf kingine maswali maswali yenu mengiii mnakera mnooo
Sasa mwanzo umesema kazi yetu kusalimia tuuu hapa unasema tuzoeane kwanza.nnavyo mazoea yanaletwa na salam za mara kwa mara.

Hem nifundishe nielewe vizuri
 
Unajua tatizo la wanaume wengi wanachoharibu pm ile kutaka kukujua mapema kutaka kuomba umtumie picha au kuomba no ya simu upapara wenu huo ndio mnahoaribu

Mzoee mtu kwanza muwe marafiki tu wala usiwe na papara ya kutaka no ya simu au picha mpaka mzoeane kabisa

Sasa we kuingia pm tu unaanza masalaam shunie naomba nitumie pic nikuone khaaa pic yangu ya ninii ndio mana tunawatumua pic za kudownload muangaike nazo

Halaf kingine maswali maswali yenu mengiii mnakera mnooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa mwanzo umesema kazi yetu kusalimia tuuu hapa unasema tuzoeane kwanza.nnavyo mazoea yanaletwa na salam za mara kwa mara.

Hem nifundishe nielewe vizuri
Manga pm wanakuja watu wa kila aina kuna watu wa masalaam kwa siku utasalimiwa hata mara 10 yaan akiingia akitoka ni salaam tu na kuna watu wa kuomba pic tu anataka akujue ulivyo pm kuna kila aina ya vituko
 
Back
Top Bottom