Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Nitakujibu pmNaomba unijibu haya maswali yote[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakujibu pmNaomba unijibu haya maswali yote[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Kweli Mwifwa
Rafikiii mimi nakuja pm hayo yote sinaaa..Unajua tatizo la wanaume wengi wanachoharibu pm ile kutaka kukujua mapema kutaka kuomba umtumie picha au kuomba no ya simu upapara wenu huo ndio mnahoaribu
Mzoee mtu kwanza muwe marafiki tu wala usiwe na papara ya kutaka no ya simu au picha mpaka mzoeane kabisa
Sasa we kuingia pm tu unaanza masalaam shunie naomba nitumie pic nikuone khaaa pic yangu ya ninii ndio mana tunawatumua pic za kudownload muangaike nazo
Halaf kingine maswali maswali yenu mengiii mnakera mnooo
SawaNitakujibu pm
[emoji1] [emoji1] tunaviziana sioMambo ya jf kila mtu anamvizia mwenzie
Hahahaaa.Mambo ya jf kila mtu anamvizia mwenzie
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Unajua tatizo la wanaume wengi wanachoharibu pm ile kutaka kukujua mapema kutaka kuomba umtumie picha au kuomba no ya simu upapara wenu huo ndio mnahoaribu
Mzoee mtu kwanza muwe marafiki tu wala usiwe na papara ya kutaka no ya simu au picha mpaka mzoeane kabisa
Sasa we kuingia pm tu unaanza masalaam shunie naomba nitumie pic nikuone khaaa pic yangu ya ninii ndio mana tunawatumua pic za kudownload muangaike nazo
Halaf kingine maswali maswali yenu mengiii mnakera mnooo
Taaa ya kijani imewakaIla wewe huna vitabia vya kitoto nakupongeza.
Wewe tena wa kuweka pic ya mtu kwa avatar yakoRafikiii mimi nakuja pm hayo yote sinaaa..
[emoji1] [emoji1] tunaviziana sio
He he humu tunavizianaHahahaaa.
Kwambaa?Taaa ya kijani imewaka
Safi sana mkuu agiza kinywaji bill ikuje kwangu usumbufu usumbufu sio mzuriToka niingie jf nmechat pm na wadada wawili tu! Tena hao mmoja alinifata mwenyewe na mwengine nilimchungulia kwenye daladala akikoment hapa jf nikaona id yake nikampm kumsalimia..!
Waliobaki wote ni wanaume na hawazidi hata kumi, na hao wote ni issue za biashara..! Huwa sipendi kumsumbua mtu maana mi mwenyewe sipendi kusumbuliwa..!
Haha ngoja nikuvizieHe he humu tunaviziana
Sema mi toka nione anko wangu ana JF app kwenye simu yake nimekua makini kweli na watu wa humu. Maana ni fisi hatari na yeyeHe he humu tunaviziana
AnakubalikaKwambaa?
Akiruhusu hamna shidah...Wewe tena wa kuweka pic ya mtu kwa avatar yako
Hahaha utashangaa anakutoa lunch hamadi uncle[emoji125] [emoji125] [emoji125]Sema mi toka nione anko wangu ana JF app kwenye simu yake nimekua makini kweli na watu wa humu. Maana ni fisi hatari na yeye
Ahahha kuna shemeji yangu mmoja yupo humu tunaitana shemeji wenyewe tupo kama ndugu sasa hiviHaha ngoja nikuvizie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiniambie kwahiyo ankole na yeye yupo humu I'd anayotumia vipi hujaimanyaSema mi toka nione anko wangu ana JF app kwenye simu yake nimekua makini kweli na watu wa humu. Maana ni fisi hatari na yeye