Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeniitaje kisaambaa hivi na wewe...
Si pacha lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeniitaje kisaambaa hivi na wewe...
Hahahahaaa. Wewe karibu.Nimekumbuka kwamba nilikuja PM halafu nikasahau kuomba namba.
Ntakuja siku nyingine tena.
Niko poa Shem... Ukitaka kujua nani anakujali we kuwa busy?!! Hivi umeshindwa mwambia Shunie aniiteSawa shem,ila mambo ya kupotea kimyakimya utasababisha siku nyingine watu wachanganyikiwe.
Uko poa lakini, nilikiham sana.
Jirani....Abeeee
Nimekuelewa ha ha haaaa dah mbona sina wivu kabisaSio mtu wa majukwaani sana halaf usome uelewe sio una muemko wa kiwivu sio mpenzi wangu au mwanaume wangu tulipofikia ni kama ndugu
Hahahahaaa. Njoo na huku.Ngoja nimtafute Evelyn Salt PM nimtumie link ya Mimi ni nani lakini?
Yaani ningekuja kitambo ujue... Sasa kaita kwa lugha yake huyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si pacha lakini
Kwani Shunie hajakufikishia salamu zangu shem.Niko poa Shem... Ukitaka kujua nani anakujali we kuwa busy?!! Hivi umeshindwa mwambia Shunie aniite
JiraniJirani....
Hahahahaaa. Njoo na huku.
Wenye fun zao wajua wanatakaje nayo huaendea hivyo basi hawachomoki ndo kila siku vilio tuhahaaa huwa mnajifnya kuact ugentlemen ile mbaya ..mtoto wakike hata akiwa na stress kazinguliwa na libwana lke huko ..anakupigia wewe ..nawewe jinsi unavyojua kucheza na akili yake ...basi wamuhamasisha na maneno yakumtia nguvu ..nawala huonyeshi kumtaka ..mpka mwisho wa movie anakuja kukupa chiu yeye mwenyew ..hahahaa HUWA WANADNGNYIKA NA KUSEMA YULE MKAKA MSTAARABU KWELI ..MANINA KUMBE UNA IDADI YA MADEMU LUKUKI KAMA VITABU VYA MAKTABA YA HAYATI NYERERE
Hahaaa aisee yaani unaanza kupenda mwandiko + avatar then unamu-imagine mtuUnapenda tu mwandiko wako. Kawaida tu.
hatari mkuu ..baada ya hpo kinachofuata utaskia yaani jinsi nilivyokuwa namuona mstaarabu hata sikutegemea yaani kama atanifnyia hviWenye fun zao wajua wanatakaje nayo huaendea hivyo basi hawachomoki ndo kila siku vilio tu
Wasio na swaga kazi kukodoa tu macho huku wakionekana si lolote
Tugawanye kabisa basiI'm ready.
Ni mkubwa ndio maana hayaruhusiwi kuletwa hukuMakubwa gani tena hayo yanayotokea Pesa Money (pm)
HapanaKwani Shunie hajakufikishia salamu zangu shem.
Eeeeeh.Hahaaa aisee yaani unaanza kupenda mwandiko + avatar then unamu-imagine mtu
Akafe mbele. Mi alikua ananichefuaNimemiss link zake aisee.
Sawa nimekuelewa kwa sauti ya kiume ni bega kwa begaNitatekwaa.