😂😂kwani mi nasemaje hapa hao robot ni programmed kwamba wanachukua data sehemu tofauti katika servers ,websites ,sijui data zote...
Kwani wanaenda chooni hao sio binadamu wamesema artificial intelligence akili bandia zitakazofanya vizuri zaid ya binadamu japo zipo bias maana zinaweza kuleta Data za uongo ila kwa kulinganisha ni binadamu wapo perfect kwa kiasi kikubwa katika utendaji kazi hawa hawali ,hawalali wanafanya kazi kwa command prompt iwe sauti au maandishi..
Kama Ni mfuatilia ebu tafuta cartoon ya Tommy&jerry ile episode analetewa yule robot na Tommy akafukuzwa kazi yake ila baadae walionyesha madhaifu ya ile robot ilikuwa inaharibu kila kitu mule ndani kumkimbiza jerry.