Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Sentensi ya mwisho baada ya neno 'dude' ndiyo jibu sahihi na limemaliza kila kitu, mjadala uishie hapa.Kwahiyo unafikiri kwamba hao wazungu wanatumia uwezo wa akili zao kufikiri? Mbona sisi Waafrika tumeshindwa? C'mon dude hao watu wana siri zao.