Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Kwahiyo unafikiri kwamba hao wazungu wanatumia uwezo wa akili zao kufikiri? Mbona sisi Waafrika tumeshindwa? C'mon dude hao watu wana siri zao.
Sentensi ya mwisho baada ya neno 'dude' ndiyo jibu sahihi na limemaliza kila kitu, mjadala uishie hapa.
 
Kila kitu kina siri na ukijua siri lazima uwe msiri, dunia inaendeshwa na mfumo na sio kwamba watu weusi wameshindwa hapana, mfumo uliopo hautambui au kuwapa nafasi watu weusi. Rejelea watu wa jamii ya misri ya kale waliyoyafanya katika nyakati hizo.
Unaambiwa hata teknolojia ya kupaa kwa ndege ni siri. Unaweza tengeneza ndege yako vizuri tu na isipae. Kuna vingi nyuma ya teknolojia.! Ilhali wengi wanajaribu kufanya spinning ili kuwapoteza watu maboya.
 
binadamu hana uwezo huo unao ufikiria wewe. kuna msaada wa creations nyingine ndio unaleta haya mapinduzi ya technology
Watu hawataki kuamini hili, wakati hata vitabu vya zamani zaidi kama biblia vimeweka wazi
 
Sijaona cha ajabu hapo kama uko na akili sawa, utanielewa... hizo teknolojia iligunduliwa na nani? hapa sawa na kusema Computer iko na uwezo kuzidi aliyeitengeneza nitakucheka sana maana mwanadamu hata robo ya uwezo wake bado hajautumia . Watu walifanya vitu vikubwa zaidi ya hivi wandugu.
Kama vipi?
 
Unaambiwa hata teknolojia ya kupaa kwa ndege ni siri. Unaweza tengeneza ndege yako vizuri tu na isipae. Kuna vingi nyuma ya teknolojia.! Ilhali wengi wanajaribu kufanya spinning ili kuwapoteza watu maboya.
Hakuna mtu atakayekuonyesha nja iliyonyooka
 
Niliiambia ChatGPT initengezee program ndogo ya kutafuta namba witiri na shufwa ikatoa jibu kwa muda wa sekunde! Ili-code program kwa kasi ya ajabu.
Bado kuna kitu nakifanyia kazi kulingana na career yangu ChatGPT akifanikiwa basi naamia Burundi 😁!.
 
Nataka hoja zako hapa!! sio kelele sijui unaelewa kweli kiswahili mbona naleta hoja hata nenda kagoogle .
Bogus brain Baki na ulichokaririshwa battle ya maneno sihataji ushajipambanua kua upo empty basi, piga kimya sio kujitia ujuaji mwingi
 
Bogus brain Baki na ulichokaririshwa battle ya maneno sihataji ushajipambanua kua upo empty basi, piga kimya sio kujitia ujuaji mwingi
kabane Cd hamna unachojua umeshindwa kutoa points bado mdogo sana kazania kusoma uelewe sio kukariri hata kitu😂😂😂
 
Nop tunaaangalia future ya wafanyakazi.


Mfano HR Wanaofanya close supervision ya wafanyakazi (binadamu) chini ya robot za Al ni kitengo cha IT pekee kitakuwa na uwezo wa kucontrol vitengo vyote ambavyo operators ni robots.


kwa maana hyo hapo HR labda wajifunze mambo ya IT ndo watabaki kazini na hao wafanyakazi kazi zao zimechukuliwa na robots
Nature ya kazi ya HR sio close supervision labda unaaanisha Administrative Officers.


Turud kwenye reli.

Bado AI haitakidhi vigezo stahiki mfno psychological evaluation, Induction Trainings, culture change and orientation..

Maybe AI itumike ktk Data management na nikitu ambacho kipo mpk sasa. Watu wankupoteza kazi ni watu wa Records and secretarial studies.
 
Mjinga mpe Cheo haya wewe unajua kila kitu furahi wewe sasa,
Nimekupa uwanja hapa useme makosa yangu yapo wapi ? Unatakiwa kama kijana unajiamini useme hivi hivi watu wajue sasa wewe unakaa kimya.

Umeanza kwa mbwembwe eti hujui kitu kama una hoja kumbe mbana CD kariakooo...kwa nn vijana wengi hajiamini utaweza hata kuongoza familia!

Nimetoa points katika upande wa Robotic Maana ndo nafuatilia wewe unapinga sasa njoo na hoja zako ,Hauna unapiga tu dogo na mwanafunzi mwenzio!
 
Mimi Nina wasiwasi pia kwenye Lishe 😆

Hakuna uchawi wala ushirikina kwenye issues za Computer hata wewe ukielekezwa na ukizingatia unafanya, I was like you siku nabuni AI ya Sauti niliondokana na hio mentality ya kijinga, hata wewe unaweza kikubwa uwe na vifaa km hauna vifaa sahau kufanya makubwa na vifaa sio gharama ndogo
Hvo vifaa vimeundwa na watu wenye akili
 
Hata wewe unaweza ukiwa na vifaa na Ukapewa elimu kidogo
Kwahyo inabidi uwaheshimu hao waliounda vifaa maana sio kazi ndogo, Kingine ni kuwa hapo unakuwa unapangilia sio kuvumbua. Kuna tofauti kubwa Kati ya uvumbuzi na uchomekaji
 
Back
Top Bottom