Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

Tulipofika: Hawa Siyo Binadamu Halisi, ni Future of AI and Nonprofit Growth in Web 3

ulijibu langu wapi lionyeshe hapa Bongo kuna mtaaalamu Al ?toa ujinga wako Hata uende chuoni kwenu hao maprofessor wako hwajui kitu
Penda kujifunza hata kwa usiowafahamua majivuno, dharau, kebei kwa wengine na kujifanya unajua sana hakutokufikisha popote
 
Wiki 2 zilizopita kabla Trump hajakwenda kusomewa mashitakanyake,kuna jamaa alitumia AI kumuinesha Trump akienda Mahakamani.
 
Penda kujifunza hata kwa usiowafahamua majivuno, dharau, kebei kwa wengine na kujifanya unajua sana hakutokufikisha popote
Nan amekataaa kujifunza ! Nimetoa point na hoja wewe zako zipo wapi unaona iabu kusoma kote hujui Al..

Mgoja tuulize chatGpt jinsi Al inavyoweza kufanya kazi
 
Penda kujifunza hata kwa usiowafahamua majivuno, dharau, kebei kwa wengine na kujifanya unajua sana hakutokufikisha popote
Screenshot_20230408-133920.png
Screenshot_20230408-133938.png




Leta point zako ...Angalia kama ungekuwa unajielewa usingequote vile sio mwanafunzi mwenzio...Kaa pembeni kama hauna hoja usidanganye watu
 
Huyu anangoea for funny kujifurahisha
Nimeshamwelewa hainipi shida uzuri mtu ukisha mwelewa hakisumbui, kuna swali la mtego nimemuuliza baada ajibu hilo swali kisomi au km mtu mwenye professional yake anajibu kijinga nikagundua tu huyu kichwani empty
 
Nimeshamwelewa hainipi shida uzuri mtu ukisha mwelewa hakisumbui, kuna swali la mtego nimemuuliza baada ajibu hilo swali kisomi au km mtu mwenye professional yake anajibu kijinga nikagundua tu huyu kichwani empty
nimekuuliza jibu kwanza unaleta swali usiingilie tena sehemu nilipocomment sipend malumbano bila ya hoja kama hauna hoja kaa pembeni...Sitaki shobo
 
nimekuuliza jibu kwanza unaleta swali usiingilie tena sehemu nilipoconamment sipend malumbano bila ya hoja kama hauna hoja kaa pembeni...Sitaki shobo
Wewe empty acha kujifanya ujuaji mwingi nakupa funzo penda sana kujifunza kutoka kwa wengine Mambo ya Tech huwezi kujua kila kitu lazima utapokea ujuzi mwengine kutoka kwa wengine sasa unapojifanya wewe ni mjuaji ndio hapo unajiharibia
 
Nimeshamwelewa hainipi shida uzuri mtu ukisha mwelewa hakisumbui, kuna swali la mtego nimemuuliza baada ajibu hilo swali kisomi au km mtu mwenye professional yake anajibu kijinga nikagundua tu huyu kichwani empty
Mkuu nilikuwa namsaidia tu kuchangamka genge lakini ni tabla lasa toka mwanzo wa mjadala
 
Wewe empty acha kujifanya ujuaji mwingi nakupa funzo penda sana kujifunza kutoka kwa wengine Mambo ya Tech huwezi kujua kila kitu lazima utapokea ujuzi mwengine kutoka kwa wengine sasa unapojifanya wewe ni mjuaji ndio hapo unajiharibia
Haya nifundishe !!Nakupa uwanja kosoa hoja zangu ..jiamini andika points zako kwa kunikosoa


Nasubiria toa somo !Maneno huna hujualo andika hapo sasa
 
Haya nifundishe !!Nakupa uwanja kosoa hoja zangu ..jiamini andika points zako kwa kunikosoa


Nasubiria toa somo !Maneno huna hujualo andika hapo sasa
Next time unapoulizwa swali la mtego usiliruke maana ukijibu na jibu lako likiwa sahihi hapo ndipo unapojipambanua kua weewe unajua Ila ukiruka basi inaonyesha wazi wewe ni empty (kilaza)
 
Maendeleo Yote hayo still bado hatujafikia level za juu
 
Next time unapoulizwa swali la mtego usiliruke maana ukijibu na jibu lako likiwa sahihi hapo ndipo unapojipambanua kua weewe unajua Ila ukiruka basi inaonyesha wazi wewe ni empty (kilaza)
😂😂Mbona hutoa facts za kunipinga nipo hapa hamna facts 😂😂 mwenzio karukia kweny udini.

Toa point zako hapa watu wajifunze kwamba mmi sijui kutokana na maelezo yangu nimekupa swali hujajibu eti unauliza!!
 
Mambo ya robotics in a movie 🤔


mtu kavaa kama robot
 

Attachments

  • 340254841_173734305546904_3406022197135514994_n (1).mp4
    10.8 MB
😂😂Mbona hutoa facts za kunipinga nipo hapa hamna facts 😂😂 mwenzio karukia kweny udini.

Toa point zako hapa watu wajifunze kwamba mmi sijui kutokana na maelezo yangu nimekupa swali hujajibu eti unauliza!!
Hakuna haja ya kupotezeana muda, we nmekwambia fanya Mambo mengine achana na hizi Mambo hilo ndio la maana nimekushauri
 
Hakuna haja ya kupotezeana muda, we nmekwambia fanya Mambo mengine achana na hizi Mambo hilo ndio la maana nimekushauri
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kabane cd na kuingiza nyimbo kweny flash hauna hoja .
 
Kuna mjadara unaendelea space kutoka kwa wataalam wa teknolojia bunifu ya akili bandia, nimejiunga kupata kitu na nimelegea kiakili zaidi baada ya kuona mambo yanayokuja.

Kwa mfano katika muundo unaokimbia sasa hivi ni Artificial Intelligence (AI) inaweza kufanya kitu unachowaza au kubuni kitu zaidi hata kuliko mtu aliyekaa kwenye kiti akiwa na computer akijenga picha na kuipa nakshi.

AI inaweza kukufanyia hiyo kazi kwa muda mfupi na kwa ubora mkubwa kuliko wako.

Kwanza angalia hizi picha hapa 👇🏾 ni kazi ya AI na ahkuna mkono wa mtu hapo.
View attachment 2580010


View attachment 2580013

Mpaka hapo nikawakumbuka jamaa zangu wapiga picha akiwepo jamaa yangu mmoja yupo Dodoma, kwamba itakuwaje kwa hali hii kama hatajiongeza kufikilia kuwa mkulima'?.

View attachment 2580018


View attachment 2580022
Kumbuka kila siku kabla jua alijachomoza kuna ujuzi mpya, wakati sisi tunafikilia kuomba msaada wa kujenga choo, wenzetu wanatumia AI aweze kufanya ujenzi wa tunnel la kuhifazia uchafu wako.

View attachment 2580030

Nilimaliziavkwa kusoma moja ya komenti ya mdau pale kwenye space akiuliza...
View attachment 2580044

Wataalam wetu sijui wako wapi? naishia hapa ila naiwaza kesho.

==============

Wakuu naongezea na hii sinema, ukiweza kuangalia hadi mwisho utaelewa, nimeiweka hapa kutokana na maswali kutoka kwa wadau.

Niliiambia ChatGPT initengezee program ndogo ya kutafuta namba witiri na shufwa ikatoa jibu kwa muda wa sekunde! Ili-code program kwa kasi ya ajabu.
 
Back
Top Bottom