Tulipotezeana kwa muda kisa tu anahisi mimi nina mtu mwingine

Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3
Kama unatembea na mtu mwenye 21 yrs na unajihisi unatakiwa kumbembeleza ili akuelewe basi una safari ndefu sana ya kuumia kichwa.
 
Huyo demu mafia kweli. Amemzidi maarifa kijana kwa mbali. Yani unapewa kosa halafu watu wanaendelea na maisha.
 
Lipia Tangazo
 
Boss kua kwanza sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dah! Bado mnaishi maisha ya chuo au uko chuo ndio maana[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo nimeshayaona mkuu
 
Walk Away.
 
Uyo kasharudiana na jamaa yake wa mwanzo, so alikua nawew kwa kujiegesha tu.
Ni kweli alirudiana na jamaa ila sahv kampiga chini jamaa na kuna mtu alishasema kwamba hatadumu na huyo huyo aliyenae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…