Kama unatembea na mtu mwenye 21 yrs na unajihisi unatakiwa kumbembeleza ili akuelewe basi una safari ndefu sana ya kuumia kichwa.Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3
Huyo demu mafia kweli. Amemzidi maarifa kijana kwa mbali. Yani unapewa kosa halafu watu wanaendelea na maisha.Pole sana kijana
Lakini kwa scenario jinsi ilivyo huyo demu alikuwa anakutafutia sababu yakukuweka mbali ili afurahie penzi lake hilo na huyo mshikaji mwingine ,kiufupi hiyo mbinu aliyotumia huyo demu wako mademu wengi wanaitumia pindi wanapokuwa wanatongozwa na mtu mwingine au wanarudiana na ma ex wao ,,alichofanya kakupa kosa kwanza wewe then ukakubali kwa kukaa kimya na yeye akapata ahueni huko na mahusiano yake coz humsumbui tena ila mnawasiliana pale tu anapotaka yeye haitoshi hakuiti tena majina mazuri (my)[emoji1] lengo kujitoa kabsa but trust me huyo manzi akigombana na huyo mwamba wewe itakuwa rahisi kula mbususu ila ukiomba kwasasa hupati ng'00..
Kama unahitaji mahusiano serious acha huyo demu aendelee na mambo yake kama ukimshikilia niamini mimi kila siku utakuwa unalialia na mapenzi kama mtoto..
Sio hvy mkuuEndelea kujidanganya
Aaah wap mkuu ana tongo tongo za kutosha sema tu mm napenda kustick sehemu mojaHuyo demu mafia kweli. Amemzidi maarifa kijana kwa mbali. Yani unapewa kosa halafu watu wanaendelea na maisha.
Hahahaaa sawa mkuu ntajiita Zabron SingasingaBadili [emoji723] kwanza. Hakuna kunguru wa kutulia sehemu moja
Lipia TangazoRefusha na kunenepesha uume kwa size unayoitaka wewe kwa bei poa tu
Ongeza size na unene wa uume ndani ya muda mfupi tumia
*DAWA HII ILIYOFANYIWA UCHUGUZI NA KUSAIDIA WATU WENGI UNASAFIRIZHIWA NDIPO ULIPE EPUKA MATAPELI
* Ni Dawa asilia ya kuongeza size na unene wa uume wako,inanenepesha na kuongeza ukubwa na urefu wa uume wako kwa muda mfupi, ni dawa isiyo na kemikali, imetengenezwa kwa kutumia virutubisho vya mimea asilia, ni dawa bora inayotumiwa na wengi wameipenda, inarefusha na kunenepesha size ya uume wako kwa haraka ,ni ndani ya siku 5 tu unapata matokeo
JINSI YA KUTUMIA ni rahisi ,unapaka kwenye uume wako baada ya kuoga na kupaka mafuta yako ya lotion au mgando,inauwezo wa kuongeza uume
AGIZA SASA PIGA SIMU!
+255 744393735
Chupa nzima inapatikana kwa Tsh 30'000/= ,pia ukitaka ya kupima kulingana na size unayotaka,mfano ya kuongeza ukubwa wa kuanzia inch 1 ni sh Tsh 20,000/= tu
Agiza utumiwe popote ulio ndani ya Tanzania, mikoani na nje ya nchi tunatumaa
Boss kua kwanza sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dah! Bado mnaishi maisha ya chuo au uko chuo ndio maana[emoji23][emoji23][emoji23]Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.
So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.
Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.
So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
Wapo mkuuHuko kwenu hakuna mademu wengine???
Ila wewe...wanawake sijui walikufanya nini??Wanawake wapo kibao, acha kubembeleza mtu mmoja. Kwani uliumbwa nae?? Kiukweli hua nachukia hadi nasikia kupasuka nikisikia mtu eti anateseka ajili ya mwanamke [emoji28]
Wanawake hawawezi kunifanya kitu maana mm sina hisiaIla wewe...wanawake sijui walikufanya nini??
Tongoza,wawili wengine acha kukaa na demu mmoja ni hatari kwa afya yako.Wapo mkuu
Testosterone ziko chache au?Wanawake hawawezi kunifanya kitu maana mm sina hisia
Pamoja mkuuTongoza,wawili wengine acha kukaa na demu mmoja ni hatari kwa afya yako.
Matokeo nimeshayaona mkuuPole sana kijana
Lakini kwa scenario jinsi ilivyo huyo demu alikuwa anakutafutia sababu yakukuweka mbali ili afurahie penzi lake hilo na huyo mshikaji mwingine ,kiufupi hiyo mbinu aliyotumia huyo demu wako mademu wengi wanaitumia pindi wanapokuwa wanatongozwa na mtu mwingine au wanarudiana na ma ex wao ,,alichofanya kakupa kosa kwanza wewe then ukakubali kwa kukaa kimya na yeye akapata ahueni huko na mahusiano yake coz humsumbui tena ila mnawasiliana pale tu anapotaka yeye haitoshi hakuiti tena majina mazuri (my)[emoji1] lengo kujitoa kabsa but trust me huyo manzi akigombana na huyo mwamba wewe itakuwa rahisi kula mbususu ila ukiomba kwasasa hupati ng'00..
Kama unahitaji mahusiano serious acha huyo demu aendelee na mambo yake kama ukimshikilia niamini mimi kila siku utakuwa unalialia na mapenzi kama mtoto..
Walk Away.Kheri ya Eid pili wakuu na jumapili njema wenzangu na mimi, moja kwa moja kwenye mada wakuu mimi nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja almost ana miaka 21 na mahusiano yetu yaliendelea vizuri kwa muda wa miezi 3 lakini 3 past weeks huyo mwenzangu alikuwa analalamika sanaa kwamba mimi niko na mtu mwingine lakini sio kweli.
So nilimbembeleza na kumweleza ukweli lakini bado hanielewi anadai haitaki kugombana na huyo mtu ambaye yeye anahisi mimi natoka naye.
Lakini baadae nikaona huyu anataka kunipanda kichwani mimi nikaamua kukaa kimya kwa muda ili kuclear air lakini baadae nikajua anatoka na mtu mwingine but sikumchana kwamba anatoka na mtu flani so nikaanza kumcheki kwa ujumbe wa maandishi nikaona anarespond na yeye akaanza kunishirikisha mambo yake lakini mwanzoni alikuwa anapenda kuniita my lakini sasa hivu ameacha kabisa.
So wakuu wa MMU naombeni ushauri wenu jinsi ya kumrudisha kwenye line b'se tunapendana sanaa lakini hataki kunielewa kwamba mimi sina mtu mwingine zaidi yake.
Ni kweli alirudiana na jamaa ila sahv kampiga chini jamaa na kuna mtu alishasema kwamba hatadumu na huyo huyo aliyenaeUyo kasharudiana na jamaa yake wa mwanzo, so alikua nawew kwa kujiegesha tu.
kwahyo bado unamuamini kila anachokuambia? Utakua zobaNi kweli alirudiana na jamaa ila sahv kampiga chini jamaa na kuna mtu alishasema kwamba hatadumu na huyo huyo aliyenae