The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna kimasihara gani mpaka mnapelekana hotelini? Kimasihara inatakiwa iwe so immediate bila preparationsI don’t believe in kimasihara, just interest.
Af sisi sio dada zenu
Wadogo zetu na kaka zetu sisi tunawajua
🤣
🤣🤣🤣🤣 hatari sana pale unapo mtaka Depal afu akuzingue.Hawa wa humu mkilana, wanakufanya uwe bubu, unakua huwez Tena leta visa vyako vya mitaani.
Sasa muhuni kama Mimi , almost Kila wiki lazima nipige Mbususu tofauti 2-3 labda niwe sitaki tu.
Sasa hivo visa nitawaleteaje humu?.
Anyway Kuna Warembo wakali humu, nishajitahidi kuwatupia Ndoano zangu ila wanachoka 🤣.
Utasikia nahukumiwa.... Wewe Carlos weeee uhuni wako wote huo nikupe? Nitakua Sina akili kabisa .
Basi nishaamua wa Humu , nitulie tu ,hawachelewi kukuumbua na kukuchamba 🤣🤣
Utafunguliwa Waraka ,Waraka wa kuchambwa , alafu unachambwa kisa mbususu🤣🤣🤣🤣 hatari sana pale unapo mtaka Depal afu akuzingue.
Jf unadhani hawaliki wanalika, wewe tu na mkoko wako.....mkoko uchawi wa wanawake 😁😁😁🏌🏌🏌Utafunguliwa Waraka ,Waraka wa kuchambwa , alafu unachambwa kisa mbususu
Kambususu kenyewe akifa, kanaoza, kanaliwa na funza, Kisha kanakia mbolea
JidanganyeJf unadhani hawaliki wanalika, wewe tu na mkoko wako.....mkoko uchawi wa wanawake 😁😁😁🏌🏌🏌
Daah Mimi Sina Hela Wala Sina mkoko.Jf unadhani hawaliki wanalika, wewe tu na mkoko wako.....mkoko uchawi wa wanawake 😁😁😁🏌🏌🏌
Dada Depal usikatae kuna ukweli ndani yakeJidanganye
Uber zimejaa mjini
Mtu unahadaika na gari? Utakuwa mshamba au limbukeni?
Kweli kabisaWengi wao tunawalogaga hivo mkoko
Nyumba labda uibebe kichwani mkuu utembee nayo barabarani.Dada Depal usikatae kuna ukweli ndani yake
Wanawake wasio taka ndoa wanahangaika na magari. Ila wanawake wanaohangaika na nyumba ndio wanataka familia. .
Mademu wachache wanahangaika na baba mwenye nyumba na wengi wanahangaika na wenye magari. .