Nadhani kuna kitu huelewi hapa...kwa kutambua mchango wake ndani ya Chdenma tunamshauri tu jinsi kulinda legacy yake ndani ya chama hicho.Kuna box la kura shida nn?.
Nendeni huko mkamuadhibu Kwa kura
Mchukueni mtu wenu mapema kabla hajapata aibuUmeandika ujinga
Mimi naendelea kubaki na Mbowe acha ifike jan 21 kila kitu kitajulikanaInashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Nadhani atakuwa amefungwa mikono na maokoto aliyopokea. Ukikubali kula pesa ya watu huna budi kuwatumikia!Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Sawa. Nina swali moja tu kwako Mafyangula, kwa nini unamtaka Mbowe agombee tena? Ili iweje? Je Chadema hawana mbadala?Mimi naendelea kubaki na Mbowe acha ifike jan 21 kila kitu kitajulikana
Hahahaa! kama Mugabe au Paul Bia, yaani mtu mmoja tu anaamini bila yeye kuwa mwenyekiti taasisi haiwezi kusimama. Yaan anaprove right kuwa yeye ni mkubwa kuliko taasisi, vitu vya hovyo sana hivi.Mbowe ni kama Mugabe tu...
Ila Mama Abdul ni kiboko amefaulu kweli kuwavuruga na kukidhoofisha chadema apewe maua yake, mitano tena kwakeAkifanya hivyo Tanzania itapata upinzani wa kweli unaojali maslahi ya Tanzania.
Shida ni asali, Ataweza kweli kurudisha asali aliolambishwa na Mama Abdul?
Mama Abdul amefanikiwa sio tu kuthibiti upinzani lakini hata CCM yote. Mikakati yake kwa upinzani anawapa asali wakikataa jela, kutekwa, kifo. Maria Sarungi, Mzee Kibao, Dr Slaa, Soka, Sativa ni mashuhuda.Ila Mama Abdul ni kiboko amefaulu kweli kuwavuruga na kukidhoofisha chadema apewe maua yake, mitano tena kwake
Tofauti na wewe mimi namshukuru kwa kukiimarisha zaidi Chadema bila kujua.Ila Mama Abdul ni kiboko amefaulu kweli kuwavuruga na kukidhoofisha chadema apewe maua yake, mitano tena kwake
Mnataka kuuwa CDM sio?Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
CCM ni wabobevu kwa ujinga na uchawa.Ni upumbavu wa kufungulia mwaka
Vyovyote iwavyo acha aende kwenye box la kura itakua vzr zaidi ashindwe hukoni dhahiri Mbowe anagombea kwa maelekezo, labda sasa aache hivyo hivyo aje kushindwa kwa kura amwambie mama nimejitahidi nimeshindwa, naomba msamaha😀😀😀
Sawa mkuuNadhani kuna kitu huelewi hapa...kwa kutambua mchango wake ndani ya Chdenma tunamshauri tu jinsi kulinda legacy yake ndani ya chama hicho.
Hana sababu ya kugombea kwa mara ya sita! Heshima aliyojijengea ndani ya Chadema itakuwa imetiwa doa kama atapoteza, je hata hilo hulioni mdugu yangu?
Kwenye historia itaandikwa pamoja na kungángánia uenyekiti kwa miaka zaidi ya 20 bila ya mafanikio ilibidi aondolewe kwa kura baada ya wanachama kumchoka!
Kinachohitajika hapa ni busara tu!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze
Duh...!. Ushauri huu ni demokrasia mpya hii!, kwanini ajitoe kabla badala ya kusubiri kura ndio ziamue?.aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Tatizo deni la watu kakaInashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.