Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Yaani unamshauri mpinzani ajitoe? Huu ushamba wa wapi?Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Nadhani amekuwa mateka wa nguvu tusiyo Iona. He is not himselfInashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Tàtizo anachaguliwa kwa kura nyingi.Hahahaa! kama Mugabe au Paul Bia, yaani mtu mmoja tu anaamini bila yeye kuwa mwenyekiti taasisi haiwezi kusimama. Yaan anaprove right kuwa yeye ni mkubwa kuliko taasisi, vitu vya hovyo sana hivi.
Huu ushauri ni katika kumsaidia Mh. Mbowe na kama hata hilo hulioni ni wazi huu mnakasha unakuzidi kimo. Kuliko kujadiliana nawe heri nijadiliane na meza kwani sidhani kama hata unalielewa neno "kushauri",Yaani unamshauri mpinzani ajitoe? Huu ushamba wa wapi?
Mwamba nilikua namkubali ila alipokuja na mambo za Paul Biya nimemuona hana maana tena..Hahahaa! kama Mugabe au Paul Bia, yaani mtu mmoja tu anaamini bila yeye kuwa mwenyekiti taasisi haiwezi kusimama. Yaan anaprove right kuwa yeye ni mkubwa kuliko taasisi, vitu vya hovyo sana hivi.
Nakushauri umwambie Lissu ndiye ajiuzulu.Huu ushauri ni katika kumsaidia Mh. Mbowe na kama hata hilo hulioni ni wazi huu mnakasha unakuzidi kimo. Kuliko kujadiliana nawe heri nijadiliane na meza kwani sidhani kama hata unalielewa neno "kushauri",
KWANINI HAMUACHI KURA ZIAMUE NANI KAWALOGA,MWISHO MTAONEKANA MNAMWOGOPA MBOWE.ACHENI KURA ZIPIGWE.Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Hahaha daahNajitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Bora aachane na Kura ataambulia aibuKWANINI HAMUACHI KURA ZIAMUE NANI KAWALOGA,MWISHO MTAONEKANA MNAMWOGOPA MBOWE.ACHENI KURA ZIPIGWE.
Hahahani dhahiri Mbowe anagombea kwa maelekezo, labda sasa aache hivyo hivyo aje kushindwa kwa kura amwambie mama nimejitahidi nimeshindwa, naomba msamaha😀😀😀
Kwako kuwa na akili ni kumpigania Sultani ili muendelee kushibisha matumbo yenu kupitia AbdulUmeandika ujinga
HahahaKwako kuwa na akili ni kumpigania Sultani ili muendelee kushibisha matumbo yenu kupitia Abdul
Ni kweli. Mbowe asingepaswa kugombea ili kulinda heshima yake aliyoijenga muda mrefu.Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Tutahesabu kura yadi saa SITA, usiogope.Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Inashangaza, inasikitisha na inaudhi kuwa pamoja na kushauri, kuonya na kutoa tahadhari kwa nia njema kabisa kuhusu mustakhabali wa taifa hatukusikilizwa...tulipuuzwa!
Najitokeza tena kumshauri Mh. F. A. Mobwe kuwa leo hii na bila kuchelewa achukue maamuzi mazito kuliko yote aliyowahi kuchukua maishani ya kutogombea uenyekiti Chadema.
Atangaze kuachana na wapambe maslahi waliomganda kama kupe aungane na wazalendo wa kweli kwa kuwaunga mkono wapiganaji wa kweli Mh. Tundu A Lissu na Mh John Heche.
Chelewa chelewa utakuta mtoto si wako.
Yericko Nyerere ni chawa number one wa mbowe, ni mnufaika wa pesa za wizi wa mboweSasa mimi Yericko bichwa kobe nikale wapi wakuu mnifikirie na mimi
Chawa wanufaika wa pesa za mbowe akina mdee wenje sugu kileo mzee wa Tindikali kule Tabora mzee wa Sumu kwa zito na akina malya wauaji wa chawa wangwe watakula wapi endapo Mbowe atakaa bench? Hivyo vikundi wanufaika wa pesa za wizi toka kwa mbowe ndiyo humpa moyo na kumchochea Mbowe abakie mpaka sasaSiku ambayo Mbowe alikuwa anatangaza nia ya kugombea uenyekiti,ndio siku hiyo hiyo kulikuwa na poll inaendelea humu JF na tayari ilikuwa inaonekana kuwa Mbowe anakimbizwa,ingelikuwa ni mimi muda uleule ningetangaza nia ya kutokugombea.
Achukue tu maamuzi magumu,maana hata akishinda,atakuwa na hali ngumu katika uongozi wake,italazimu kuunda team mpya kwa ghrama kubwa sana ili apate watu waaaminifu wa kufanya nae kazi