mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
- Thread starter
-
- #61
Mungu anawaona na tamaa za dunia,wengine ni wazee kabisani ngumu sana kuwadhibiti mafisadi, saivi wamehamisha magoli eti waanzishe mdradi wa umeme wa solar na upepo ili wakapigie huko. kuna rafiki yangu ni technician tanesco alinambia kinachoendelea pale ni usanii maana wateja wapya na wazamani wanatumia 60% pekee ya umeme unaozalishwa tanesco hivo hata kama miezi hii maji hupungua hakuna athari yoyote, alinambia kwa sasa wanafanya kazi kwa maelekezo ya wakubwa na wala hakukua na matatizo ya matengenezo yoyote, alinambia laiti kungekua na matatizo hayo tunayolazimishwa kuaminishwa basi yangeshaonekana na wala yasingejitokeza ghafla baada ya boss mpya kuingia wizarani.
Kumbe ,alah!Msoga family akili kubwa SANA!
Dogo kapewa liwizara ligumu ili achafuke!
hatimae 2025 njia nyeupe kwa rizmoko!!
Sina uhakika sana na wala siyo Mhandisi, baadhi ya nchi wanafanya hivyoSwali dogo kwa wataalamu haiwezekani katika mfumo wa mabwawa kuweka pump kadhaa kubwa kurejesha Sehemu ya Maji katika bwawa la Akiba baada matumizi ikihitajika?
Aibu kwa Taifa ,tutaendelea kuwa tegemezi mpaka kufa kwetu kama akili ndio hiiShime watanzania tuunganishe nguvu, tupaze sauti yetu Mama Samia atatusikia! Sudan mbona wananchi wamesikilizwa na jeshi limerudisha madaraka kwa wananchi? Kwanini sisi tushindwe?
Mama Samia, Rais wa JAmhuri ya Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu TUONDOLEE MAKAMBA na BODI NZIMA YA TANESCO, watatuuza hawa!
Wito kwa vyombo vya ulizni na usalama na waandishi wa habari wazalendo wa Tanzania, wekeni mitego kwenye mabwawa yote mkianzia Mtera, zipo tetesi tangu jana kuwa maji yatamwagwa usiku....
Na Mkurugenzi Maharage pia???Ndio maana nilisema Rais Samia atengue wadhifa wa Waziri Makamba na bodi nzima ya Tanesco,hilo ni kundi la wezi tu
Ndio, mkurugenzi mkuu na bodi yake +Waziri January MakambaNa Mkurugenzi Maharage pia???
Wawe wapinzani wawe nani tunataka watu wenye uchungu na nchi yao basi! Kipindi cha JK ili bwawa la Mtera lilifungwa kabisa, halikuwa linazalisha ata Megawati 1 ya umeme katika Megawati 80 na wapinzani wlaikuwepo bungeni na si mnadai ndiyo kulikuwa na uhuru wa kutoa maoni? Kuna upinzani ulimsikia akilisemea ilo? Baada ya kuja JPM ndo tukajua kuwa kumbe kuna issue hii inaendelea!Sasa watanzania wenzangu mnapaswa kukiri kuwa ni jambo la afya kuwa na wapinzi bungeni japo 40%.
Hata kama mnataka CCM itawale milele, chagueni wabunge wengi wa upinzani.
Hili suala la umeme na figisu zinazo endelea utaona wabunge wetu wa CCM wana nyamazia tu.
Na nyie wabunge wa CCM endeleeni kuwa puuza raia, ipo siku hamjui mtaharibu vipi, raia wanaweza kukosa uvumilivu msijisahau mkiwa katika huo umoja wenu.
Watanzania wengi bado wanaipenda amani. Siku wakitafsiri kuwa kukosa umeme labda na maji kunachangiwa na maamuzi bungeni hamtajua moto ulianzia wapi.
Huenda fedha za kampeni 2025 safari hii zimeanza kukusanywa mapema.unaambiwa baada ya makelele mengi genge wamekaa vikao vingi na hatimae wakabadili mwelekeo kwa kuja na mradi wa umeme wa solar na upepo bt malengo makubwa ni upigaji maana hatuna upungufu wa umeme ila kwa kua njia yao imeshtukiwa wamelazimika kubadili mbinu.
Na huko tuzomeeni tu,wamalize kwanza JNHPunaambiwa baada ya makelele mengi genge wamekaa vikao vingi na hatimae wakabadili mwelekeo kwa kuja na mradi wa umeme wa solar na upepo bt malengo makubwa ni upigaji maana hatuna upungufu wa umeme ila kwa kua njia yao imeshtukiwa wamelazimika kubadili mbinu.
mafisadi kwa kipindi hiki wanapaswa kutumia akili kubwa la sivyo watakua wakiumbuka kabla hawajafikia lengo.Ndio maana kwa ile pointi ya Zitto eti Rais anafungua nchi mahitaji ya umeme yameongezeka, nikajiuliza huku kufungua nchi kunahusiana nini na kuongezeka ghafla mahitaji ya umeme?
Tangu Samia aingie madarakani ameshajenga viwanda vingapi? ukweli hakuna; au alimaanisha kufungua nchi kwa kupanda ndege kwenda ulaya na kwingineko ndio kunaongeza matumizi ya umeme?!
Hii hoja ya Zitto ilikuwa ya kitapeli kabisa, mafisadi wanachofanya sasa kwa kushirikiana na vibaraka wao ni kutafuta vijisababu vya kuokoteza ilimradi huo mradi wao wa LNG uanze wapige hela.
Labda nikuulize, kwanini kina cha maji kimepungua Mtera?Kama ni hivyo maji yapatikane juu chini yakosekane?
Pamoja na mchongo huyu mama japo ana madaraka makubwa ila zile weaknesses za kike zinadhihirika kwake kwamba hii jinsia bila kushauriwa na mwanaume haiwezi kufanya jambo lolote kubwa ikiwa peke yake.asingekua waziri wa mchongo angeshaondolewa, yote yanayoendelea pale wizarani yana baraka za wakubwa.
CCM ni kinyaaa.Majizi yanapanga mbinu zingine, hayakomagi hayo
Mita 5.76 ni bwawa gani hilo mkuu, nakumbuka 2015 nilipita Mtera Dam maji hamna ila tope na viboko wakihangaika kutafuta hifadhi“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Tukiandika ukweli kuwa CCM haina uhalali wa kuwa chama cha siasa, tunatukanwa.Akina Omtiti, Yehodawa, mwamanyaaso,mmekutweni na nini hata wenzenu pale kijani wanawashangaeni.
Badala ya kutokuwa na imani na CCM au mfumo,wewe unaamini "mtu"!!Sina imani tena na Waziri Makamba.
Tatizo sio Makamba.Ndio maana nilisema Rais Samia atengue wadhifa wa Waziri Makamba na bodi nzima ya Tanesco,hilo ni kundi la wezi tu