chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Amina. ss watu wa jmt sote kwa moyo mmoja na bila kinyongo chochote tunakubali umchukue huyu mtu ee bwana!! bwana ametoa na bwana ametwaa,jina la bwana na libarikiwe!Mungu mchukue makamba na zitto na washenzi wengibe wote wenye nia mbaya na nchi hii.
Huyu January,yeye na baba yake wamekuwa kwenye uongozi kwa miaka mingi,bado wanataka kutuibia tena?.Kesho utasikia kahamishwa kituo cha kazi. CCM ni majambazi
Hawa kenge wana mbinu nyingi sana. Tusishangilie kwanzaWanajukwaa tupongezaneni tuliopinga hujuma hii ya kutaka kuuziwa umeme wa mafuta na mgao unnecessary
Inaelekea hujaelewa,kwa mujibu wa huyo mhandishi wa Tanesco ni kwamba licha ya kupungua kwa maji kwenye Bwawa ,ujazo uliopo unaweza kuzalisha hizo megawatt kwa kipindi tajwa hadi hapo kina cha chini kabisa kufikiwa.Hapo wamekadiria rate of evaporation ndio kuja na huo uzalishaji kwa miezi tajwa.“Kiwango cha juu” means umeme wa kutosha,labda utuambie wewe unadhani inabidi bwawa liwe na maji kiasi gani ili kuzalisha umeme wa kusemwa unatosha?
Weka mahaba ya kisambaa pembeni ongea facts!
Wala!Sasa watanzania wenzangu mnapaswa kukiri kuwa ni jambo la afya kuwa na wapinzi bungeni japo 40%.
Hata kama mnataka CCM itawale milele, chagueni wabunge wengi wa upinzani.
Hili suala la umeme na figisu zinazo endelea utaona wabunge wetu wa CCM wana nyamazia tu.
Na nyie wabunge wa CCM endeleeni kuwa puuza raia, ipo siku hamjui mtaharibu vipi, raia wanaweza kukosa uvumilivu msijisahau mkiwa katika huo umoja wenu.
Watanzania wengi bado wanaipenda amani. Siku wakitafsiri kuwa kukosa umeme labda na maji kunachangiwa na maamuzi bungeni hamtajua moto ulianzia wapi.
Huo ndio ukweli, wapinzani nchi hii walitumika na haohao wanaccm kumalizana kwenye dili zao walipozurumianaWala!
2010 kuja 2015 kulikuwa na wapinzani kibao ila ule mgao wa umeme wa Jk ulikuwa unavunja rekodi
PumbaInaelekea hujaelewa,kwa mujibu wa huyo mhandishi wa Tanesco ni kwamba licha ya kupungua kwa maji kwenye Bwawa ,ujazo uliopo unaweza kuzalisha hizo megawatt kwa kipindi tajwa hadi hapo kina cha chini kabisa kufikiwa.Hapo wamekadiria rate of evaporation ndio kuja na huo uzalishaji kwa miezi tajwa.
Licha ya hiyo haiondoi ukweli kwamba Maji yamepungua na umeme ambao ulistahili kuzalishwa sio huo mgwat 80..
Acheni fitina za kijinga nyie watu, Mwenzangu hawezi kosa lawama kwa hili.
Ila ni kweli broHawa kenge wana mbinu nyingi sana. Tusishangilie kwanza
Na wallivyo hayawani wafuasi wake wanasema eti ni president materialHuyu January,yeye na baba yake wamekuwa kwenye uongozi kwa miaka mingi,bado wanataka kutuibia tena?.
RubbishPumba
MhPumba
Umeme wa kutosha ni kiasi gani?,mahitaji yetu ni kiasi gani?.“Kiwango cha juu” means umeme wa kutosha,labda utuambie wewe unadhani inabidi bwawa liwe na maji kiasi gani ili kuzalisha umeme wa kusemwa unatosha?
Weka mahaba ya kisambaa pembeni ongea facts!
Tunazungumzia uhai wa taifa ,wewe unawaza kutumia makalioArudi Medard Kalemani ama?
Wazo la kichina ,lina sense piaDawa ya hawa watu ni risasi tu
Unakaa zako kona unaiweka Chemba makamba anapita anakula tatu za kichwa habari inaishia hapo. Atakayekuja atajua watanzania hatutanii, heshima itakuwepo.
Soma hiyo wewe kalumanzilaMita 5.76 ni bwawa gani hilo mkuu, nakumbuka 2015 nilipita Mtera Dam maji hamna ila tope na viboko wakihangaika kutafuta hifadhi
Makini sana, hekimaPamoja na mchongo huyu mama japo ana madaraka makubwa ila zile weaknesses za kike zinadhihirika kwake kwamba hii jinsia bila kushauriwa haiwezi kufanya jambo lolote kubwa ikiwa peke yake.
Sometimes akili yake inamwambia kabisa kwamba mgosi hafai ila hana uhakika kama anachowaza ni sahihi (japo kikawaida sana inadhihirika ni sahihi mgosi anacheza deal zake pale wizarani) so inabidi aitishe ushauri kutoka kwa wanaume ambao baadhi ni chawa wa Makamba nao wanamjaza kwamba Makamba anafanya vizuri.
Tungekuwa na kiongozi makini mwanaume saizi tungekuwa tunazungumza mengine hapa.
Sasa helicopter itafika mtera au haitafika ? Hata huko kwingine Luna.haja gani ya ziara ya anga kukagua vyanzo wakati washaambiwa hakuna maji! Basi wachukue rocker wakakague mvua kuwa utanyesha liniKihansi, Kidatu na Pangani ndiyo mabwawa yaliyoathiriwa na upungufu wa mvua. Bwawa la Mtera lina uwezo wa kuhifadhi maji kwa mwaka mmoja. Yaani lina resrvoir inayoweza kuback-up kwa mwaka mzima kwa hiyo huwa linakuwa la mwisho kukauka.
Kama hali ni mbaya zaidi wanaachia not at maximum capacity kurefusha matumizi na kusubiri mvua.
Duh 🙆🏿♂️ Sasa Tanesco wanavyosema maji hayatoshi waliongea na meneja wao au ilikuwaje ?? Mbona ni mkanganyiko huu“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo