Kwa hiyo maji yapo ya kutosha?Sasa helicopter itafika mtera au haitafika ? Hata huko kwingine Luna.haja gani ya ziara ya anga kukagua vyanzo wakati washaambiwa hakuna maji! Basi wachukue rocker wakakague mvua kuwa utanyesha lini
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Apewe ulinzi. Kajanuari ni kamtu kabaya kana roho mbaya na chuki“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Huyo meneja wakimfire huku mtaani tutamfanya awe mrithi wa Magufuli. Tena fasta.Meneja wa hilo bwawa apandishwe cheo na alindwe, tunahitaji wazalendo nchi hii , Rais Samia alione hili
Kwa hili kwa kweli hapa wa kupongezwa ni Magufuli maana aliweka wazi mapema hii mbinu ya hawa majambazi.“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Zitto siyo mpinzani?Sasa watanzania wenzangu mnapaswa kukiri kuwa ni jambo la afya kuwa na wapinzi bungeni japo 40%.
Hata kama mnataka CCM itawale milele, chagueni wabunge wengi wa upinzani.
Hili suala la umeme na figisu zinazo endelea utaona wabunge wetu wa CCM wana nyamazia tu.
Na nyie wabunge wa CCM endeleeni kuwa puuza raia, ipo siku hamjui mtaharibu vipi, raia wanaweza kukosa uvumilivu msijisahau mkiwa katika huo umoja wenu.
Watanzania wengi bado wanaipenda amani. Siku wakitafsiri kuwa kukosa umeme labda na maji kunachangiwa na maamuzi bungeni hamtajua moto ulianzia wapi.
Aliyemtema alimjua sana, nashangaa alivyorudishwaNdio maana nilisema Rais Samia atengue wadhifa wa Waziri Makamba na bodi nzima ya Tanesco,hilo ni kundi la wezi tu
Ila haya majina ni mizigo, nasikilizaga taarifa ya habari ya Manyara [emoji3][emoji3][emoji3] na waandishi hawachezi mbaliFadhila alizopewa jr makamba ndoo zinatuumiza
Wacha majibu ya kukariri.Tatizo sio Makamba.
Tatizo ni CCM.
Well doneZitto siyo mpinzani?
Uroho wa pesa kwa gharama ya maskini hauna cha upinzani au chama tawala. Kwani Magufuli alivyoingia madarakani na kuanzia kufanyia kazi yote wapinzani mliyokuwa mnapigia kelele mlimfanya nini? Si ni hao hao akina Lissu badala ya kumwona kama ally wao wakaanza kumwita eti ni dikteta uchwara? Mlimpa stress kiongozi wetu mwenye uzalendo wa ajabu sana hadi mkapelekea kifo chake halafu leo mnaanza tantalila zenu za upinzani.
Nope! Wapinzani mlituangusha na bado mnaendelea kutuangusha. Tumaini letu pekee linabaki kwa watanzania ambao Mungu ataamsha mioyo yao na kuukataa upuuzi wa aina yoyote ile na kufanya kile kilicho sahihi kwa ajili ya maslahi mapana ya Tanzania. Watanzania wa aina hii wapo kote kote kama meneja huyu wa Tanesco Mtera alivyofanya. Magufuli ameacha spirit kubwa nyuma na hii ndiyo legacy yake kuu na ya msingi.
Kutoka Mtera hadi Kidatu pana umbali wa kutosha sana na maji yanayotoka Mtera mengi yanapotea njiani along the river kutokana na ukame mkali na jua hasa kati ya Mtera na Ruaha Mbuyuni. Lakini pia MTERA kuna reseivor kubwa (bwawa) tofauti na Kidatu. Kwa lugha rahisi MTERA inatumia maji yaliyohifadhiwa katika bwawa kuzalisha umeme. Yanayotoka baada kuzalishwa kwa umeme njiani kuna matumizi mengine ya kibinadamu ikiwemo matumizi ya nyumbani, mifugo na hata kilimo. Pia maji mengi yanapotea kupitia evaporation kutoka na jua kali.Kama ni hivyo maji yapatikane juu chini yakosekane?
Labda wa Bumbuli kwao.Na wallivyo hayawani wafuasi wake wanasema eti ni president material
Nafikiri taarifa ya awali ya TANESCO ilitaja kwamba kituo cha uzalishaji kilichoadhirika zaidi ni Kihansi. Mtera haikuguswa"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.
Inavyoonekana hawa wazito huwa wanaenda field wanapewa taarifa za kweli, lakini wao wakija kwenye majukwaa yao ya twitter wanaingiza siasa zao ili kutimiza malengo yao ovu kwa taifa, na kwa vile hawa mameneja miradi hawana uwezo wa kuwapinga, basi mafisadi wanajifanyia watakavyo.
Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu, haya mambo ni kile kinachotokea field na wala sio kutuletea namba za darasani.
Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 mil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini hii combination ya Zitto na Makamba?
Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli? tumezungukwa na circle ya wapigaji lazima tuwe makini.
Nilitaka kushangaa ukame gani wa ghafla huo,
Raisi laziam aingilie kati, vinginevyo atakua analea wahalifu.
Mara paap sio maji Ni mota ndo purobulemaWanajukwaa tupongezaneni tuliopinga hujuma hii ya kutaka kuuziwa umeme wa mafuta na mgao unnecessary
Hiyo ni team Kikwete iliyoingia madarakani. Angalia jinsi biashara za lake oil zilivyoshamiri kwa miezi michache iliyopita. Nasikia mtoto wake wa mwisho kazaa na Mkwere"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.
Inavyoonekana hawa wazito huwa wanaenda field wanapewa taarifa za kweli, lakini wao wakija kwenye majukwaa yao ya twitter wanaingiza siasa zao ili kutimiza malengo yao ovu kwa taifa, na kwa vile hawa mameneja miradi hawana uwezo wa kuwapinga, basi mafisadi wanajifanyia watakavyo.
Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu, haya mambo ni kile kinachotokea field na wala sio kutuletea namba za darasani.
Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 mil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini hii combination ya Zitto na Makamba?
Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli? tumezungukwa na circle ya wapigaji lazima tuwe makini.