Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

Tunazungumzia uhai wa taifa ,wewe unawaza kutumia makalio

Bean 1.jpg
 
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”

- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Apewe ulinzi. Kajanuari ni kamtu kabaya kana roho mbaya na chuki
 
Hivi maswi yuko wapi maana nae alipata misukosuko baada ya kupambana na wanufaika wa mgao wa umeme
 
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”

- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Kwa hili kwa kweli hapa wa kupongezwa ni Magufuli maana aliweka wazi mapema hii mbinu ya hawa majambazi.
 
Sasa watanzania wenzangu mnapaswa kukiri kuwa ni jambo la afya kuwa na wapinzi bungeni japo 40%.

Hata kama mnataka CCM itawale milele, chagueni wabunge wengi wa upinzani.

Hili suala la umeme na figisu zinazo endelea utaona wabunge wetu wa CCM wana nyamazia tu.

Na nyie wabunge wa CCM endeleeni kuwa puuza raia, ipo siku hamjui mtaharibu vipi, raia wanaweza kukosa uvumilivu msijisahau mkiwa katika huo umoja wenu.

Watanzania wengi bado wanaipenda amani. Siku wakitafsiri kuwa kukosa umeme labda na maji kunachangiwa na maamuzi bungeni hamtajua moto ulianzia wapi.
Zitto siyo mpinzani?

Uroho wa pesa kwa gharama ya maskini hauna cha upinzani au chama tawala. Kwani Magufuli alivyoingia madarakani na kuanzia kufanyia kazi yote wapinzani mliyokuwa mnapigia kelele mlimfanya nini? Si ni hao hao akina Lissu badala ya kumwona kama ally wao wakaanza kumwita eti ni dikteta uchwara? Mlimpa stress kiongozi wetu mwenye uzalendo wa ajabu sana hadi mkapelekea kifo chake halafu leo mnaanza tantalila zenu za upinzani.

Nope! Wapinzani mlituangusha na bado mnaendelea kutuangusha. Tumaini letu pekee linabaki kwa watanzania ambao Mungu ataamsha mioyo yao na kuukataa upuuzi wa aina yoyote ile na kufanya kile kilicho sahihi kwa ajili ya maslahi mapana ya Tanzania. Watanzania wa aina hii wapo kote kote kama meneja huyu wa Tanesco Mtera alivyofanya. Magufuli ameacha spirit kubwa nyuma na hii ndiyo legacy yake kuu na ya msingi.
 
Tatizo sio Makamba.
Tatizo ni CCM.
Wacha majibu ya kukariri.

CCM haiongozi wizara ya nishati, Makamba ndie anayeongoza hiyo wizara na huu mzigo lazima umuangukie yeye.

Usicheleweshe tatizo kwa kulitafutia majibu ya jumla yasiyo na maana, kwa hiyo unataka tuendelee kupigwa mpaka CCM itakapoondolewa madarakani?

Think.
 
Zitto siyo mpinzani?

Uroho wa pesa kwa gharama ya maskini hauna cha upinzani au chama tawala. Kwani Magufuli alivyoingia madarakani na kuanzia kufanyia kazi yote wapinzani mliyokuwa mnapigia kelele mlimfanya nini? Si ni hao hao akina Lissu badala ya kumwona kama ally wao wakaanza kumwita eti ni dikteta uchwara? Mlimpa stress kiongozi wetu mwenye uzalendo wa ajabu sana hadi mkapelekea kifo chake halafu leo mnaanza tantalila zenu za upinzani.

Nope! Wapinzani mlituangusha na bado mnaendelea kutuangusha. Tumaini letu pekee linabaki kwa watanzania ambao Mungu ataamsha mioyo yao na kuukataa upuuzi wa aina yoyote ile na kufanya kile kilicho sahihi kwa ajili ya maslahi mapana ya Tanzania. Watanzania wa aina hii wapo kote kote kama meneja huyu wa Tanesco Mtera alivyofanya. Magufuli ameacha spirit kubwa nyuma na hii ndiyo legacy yake kuu na ya msingi.
Well done
 
Kama ni hivyo maji yapatikane juu chini yakosekane?
Kutoka Mtera hadi Kidatu pana umbali wa kutosha sana na maji yanayotoka Mtera mengi yanapotea njiani along the river kutokana na ukame mkali na jua hasa kati ya Mtera na Ruaha Mbuyuni. Lakini pia MTERA kuna reseivor kubwa (bwawa) tofauti na Kidatu. Kwa lugha rahisi MTERA inatumia maji yaliyohifadhiwa katika bwawa kuzalisha umeme. Yanayotoka baada kuzalishwa kwa umeme njiani kuna matumizi mengine ya kibinadamu ikiwemo matumizi ya nyumbani, mifugo na hata kilimo. Pia maji mengi yanapotea kupitia evaporation kutoka na jua kali.
 
"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.

Inavyoonekana hawa wazito huwa wanaenda field wanapewa taarifa za kweli, lakini wao wakija kwenye majukwaa yao ya twitter wanaingiza siasa zao ili kutimiza malengo yao ovu kwa taifa, na kwa vile hawa mameneja miradi hawana uwezo wa kuwapinga, basi mafisadi wanajifanyia watakavyo.

Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu, haya mambo ni kile kinachotokea field na wala sio kutuletea namba za darasani.

Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 mil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini hii combination ya Zitto na Makamba?

Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli? tumezungukwa na circle ya wapigaji lazima tuwe makini.
Nafikiri taarifa ya awali ya TANESCO ilitaja kwamba kituo cha uzalishaji kilichoadhirika zaidi ni Kihansi. Mtera haikuguswa
 
Rais naye ni wale wale tu. Ina maana hana njia zingine za kupata ukweli kama mtangulizi wake alivyokuwa anapima mapapai, mbuzi COVID-19? Yeye akiletewa anapokea na kuhutubia tu.
Nilitaka kushangaa ukame gani wa ghafla huo,
Raisi laziam aingilie kati, vinginevyo atakua analea wahalifu.
 
"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.

Inavyoonekana hawa wazito huwa wanaenda field wanapewa taarifa za kweli, lakini wao wakija kwenye majukwaa yao ya twitter wanaingiza siasa zao ili kutimiza malengo yao ovu kwa taifa, na kwa vile hawa mameneja miradi hawana uwezo wa kuwapinga, basi mafisadi wanajifanyia watakavyo.

Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu, haya mambo ni kile kinachotokea field na wala sio kutuletea namba za darasani.

Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 mil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini hii combination ya Zitto na Makamba?

Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli? tumezungukwa na circle ya wapigaji lazima tuwe makini.
Hiyo ni team Kikwete iliyoingia madarakani. Angalia jinsi biashara za lake oil zilivyoshamiri kwa miezi michache iliyopita. Nasikia mtoto wake wa mwisho kazaa na Mkwere
 
Back
Top Bottom