Ndani ya hayo maandishi ndio kumebeba uhalisia, ndio maana hata wewe hujui ule mkataba mwisho wake lini, kama unaujua tuambie..Hayo ni maandishi tu ya enzi za Ujamaa na Kujitegemea
Dunia ya Sayansi haina Siri
Shida siyo Sa100 bali tatizo kubwa ni fisiemu..View attachment 2668869
Ikifika mwezi wa 7 , kuna ‘mbuzi’ wawili au watatu watatolewa kafara, hii ni kwa decoding binafsi ya mtiririko wa matukio takriban matano hadi kumi niliyoya -observe, na inanipelekea kuamini hivyo.
1.) Haya majibu yanayotolewa na serikali kupitia Gerson Msigwa , Kassim Majaliwa na Hamza Johari yanatolewa kwa ajili ya nani? Maana tumeambiwa hizi kelele hazibadilishi chochote, sasa ya nini kutujibu wapiga kelele?
2.) Ni lini iliwahi tokea hapa Tanganyika pakawa na such an intense persistence, consistence na insistance ya kupinga matendo ya serikali kwa muda wa mwezi mzima bila kupumua, we are breathing bandari, day in , day out , hadi lini tutakuwa ignored?!
3.)Rais akiongea kwa sasa sauti yake inatetemeka, anaogopa nini, anaongea as if anataka kulia kwanini? Tangu lini mkuu wa nchi akatoa kauli irresponsible na ya kimipasho kama ile dhidi ya hoja serious kama za kuuzwa kwa Tanganyika, kwamba anaweka pamba masikioni?! Siasa ni Taarab?!
4.)Hadi majumbani watoto wanatuuliza tuufafanue mkataba huu wa bandari, imagine, kwa aibu kali inabidi tuwaeleze kwamba tumeuzwa kwa waarabu na waZanzibari, na huo ndio ukweli, wala sio udini au ubaguzi, ni ukweli tu., narudia kuziweka hoja hapo chini.
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Mungu atatuletea Mwingine zaidi ya Magufuli na kila kitu kitarudi kwa wananchiKama sikuhiz akiongea saut inatetema?mie sikuhiz namute clips anazokuwa anaongea nikizikuta popote🙏 just tired of hearing her powerless voice🤣
Ina athari gani kwake? Kwanza ni nani kwake wewe?!!!!! Akiamua si anakuona sisimizi tu. Nashauri muhame kabisa nchi sababu yupo sana na historia ya kimaendeleo ya kiuchumi inaenda kubadilika.......na si mwingine anayeleta mabadiliko hayo ni Dr Samia Suluhu Hassan. Ikakupoteka kalipambilile (in Field Marshal Tongolanga's voice)Kama sikuhiz akiongea saut inatetema?mie sikuhiz namute clips anazokuwa anaongea nikizikuta popote🙏 just tired of hearing her powerless voice🤣
😄😄😄😄😄Ukweli ni kitu cha ajabu sana, unaweza kujidai mjanja ukaufumbia macho kwa nje, lakini ndani lazima utaumia, hata kama kwa nje utajidai kupuuza maneno ya watu, lakini ndani lazima moyo utakuuma.
Utakuuma kwa sababu jambo ulilofanya ukidhani litakuwa siri, matokeo yake ile siri inakuwa wazi, baada ya hapo unajua fika, ule uaminifu uliokuwa nao kwa wale unaowatumikia ndio umepotea, kinachofuata baada ya hapo ni aibu na majuto, hata kama utajidai kuyapuuzia.
Waislamu wakiwaona waarabu wanama kama wamekutana na mungu, full kujikomba wakati waarabu wanawadharau kama nnya.Huyu bibi mpaka wanawake wenzake wanamdharau kbs. Kaiuza Tanganyika kama baba Hassan alivyouza Loliondo sijui wakiona Waarabu wanachanganyikiwa na nini. Mama hana mvuto tena.
Huujui uislamu wewe, uuslamu hauangalii mwarabu, mzungu wala mchina, ni total different aspect na fikra zenu, nyie pambaneni na roho zenu mbaya za kumchukia rais bila kuhusisha uislamu wake wala uanamke wake, hao wakristo wenu wamefanya ya ajabu mengi tu, nyerere mkapa na jiwe wote na mabaya yao makubwa hamyasemi......Waislamu wakiwaona waarabu wanama kama wamekutana na mungu, full kujikomba wakati waarabu wanawadharau kama nnya.
Na kinachonikera mimi ni kwamba badala ya kujibu hoja wao wanajibu mipasho. Sasa kusema kwamba unaziba masikio ndio unajibu hoja hapo?!Tufahamu ya kuwa hakuna mgeni atakuja kutuletea maendeleo sisi tukishindwa. Nasema tena hakuna.
Hayupo mwekezaji atakuja kuibadili hali yako, kama umeshindwa.
Tena kwa mikataba mibovu kama hii, ndio kabisa tutarajia wao kuvuna zaidi na sisi kubaki kama tulivyo.
Bibi kakwama hana mbele kwema tena.Na kinachonikera mimi ni kwamba badala ya kujibu hoja wao wanajibu mipasho. Sasa kusema kwamba unaziba masikio ndio unajibu hoja hapo?!
Mwisho wake ni Bandari itakapoexpire😀😀Ndani ya hayo maandishi ndio kumebeba uhalisia, ndio maana hata wewe hujui ule mkataba mwisho wake lini, kama unaujua tuambie..
Hilo ndio linalotakiwa.
Haiwezekani tunaenda maonesho ya "Dubei Expo", hapo hapo, tunapeana tenda ya kuendesha bandari zote za Tanganyika.
Nchi tunaonekana kituko. Sheria za procurement tumeweka mfukoni. No ushindani. No vigezo vyetu. Yani hewala ilimradi tu.
Basi hiyo bandari itaexpire mwaka huuMwisho wake ni Bandari itakapoexpire😀😀
Povu zitoHuujui uislamu wewe, uuslamu hauangalii mwarabu, mzungu wala mchina, ni total different aspect na fikra zenu, nyie pambaneni na roho zenu mbaya za kumchukia rais bila kuhusisha uislamu wake wala uanamke wake, hao wakristo wenu wamefanya ya ajabu mengi tu, nyerere mkapa na jiwe wote na mabaya yao makubwa hamyasemi......
Sijui kwa nin najikuta nina mashaka na Madelu na yule msambaa asiyeota nyweleView attachment 2668869
Ikifika mwezi wa 7 , kuna ‘mbuzi’ wawili au watatu watatolewa kafara, hii ni kwa decoding binafsi ya mtiririko wa matukio takriban matano hadi kumi niliyoya -observe, na inanipelekea kuamini hivyo.
1.) Haya majibu yanayotolewa na serikali kupitia Gerson Msigwa , Kassim Majaliwa na Hamza Johari yanatolewa kwa ajili ya nani? Maana tumeambiwa hizi kelele hazibadilishi chochote, sasa ya nini kutujibu wapiga kelele?
2.) Ni lini iliwahi tokea hapa Tanganyika pakawa na such an intense persistence, consistence na insistance ya kupinga matendo ya serikali kwa muda wa mwezi mzima bila kupumua, we are breathing bandari, day in , day out , hadi lini tutakuwa ignored?!
3.)Rais akiongea kwa sasa sauti yake inatetemeka, anaogopa nini, anaongea as if anataka kulia kwanini? Tangu lini mkuu wa nchi akatoa kauli irresponsible na ya kimipasho kama ile dhidi ya hoja serious kama za kuuzwa kwa Tanganyika, kwamba anaweka pamba masikioni?! Siasa ni Taarab?!
4.)Hadi majumbani watoto wanatuuliza tuufafanue mkataba huu wa bandari, imagine, kwa aibu kali inabidi tuwaeleze kwamba tumeuzwa kwa waarabu na waZanzibari, na huo ndio ukweli, wala sio udini au ubaguzi, ni ukweli tu., narudia kuziweka hoja hapo chini.
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?