Tulitangazwa bure Burj Khalifa...

Tulitangazwa bure Burj Khalifa...

View attachment 2668869

Ikifika mwezi wa 7 , kuna ‘mbuzi’ wawili au watatu watatolewa kafara, hii ni kwa decoding binafsi ya mtiririko wa matukio takriban matano hadi kumi niliyoya -observe, na inanipelekea kuamini hivyo.

1.) Haya majibu yanayotolewa na serikali kupitia Gerson Msigwa , Kassim Majaliwa na Hamza Johari yanatolewa kwa ajili ya nani? Maana tumeambiwa hizi kelele hazibadilishi chochote, sasa ya nini kutujibu wapiga kelele?

2.) Ni lini iliwahi tokea hapa Tanganyika pakawa na such an intense persistence, consistence na insistance ya kupinga matendo ya serikali kwa muda wa mwezi mzima bila kupumua, we are breathing bandari, day in , day out , hadi lini tutakuwa ignored?!

3.)Rais akiongea kwa sasa sauti yake inatetemeka, anaogopa nini, anaongea as if anataka kulia kwanini? Tangu lini mkuu wa nchi akatoa kauli irresponsible na ya kimipasho kama ile dhidi ya hoja serious kama za kuuzwa kwa Tanganyika, kwamba anaweka pamba masikioni?! Siasa ni Taarab?!

4.)Hadi majumbani watoto wanatuuliza tuufafanue mkataba huu wa bandari, imagine, kwa aibu kali inabidi tuwaeleze kwamba tumeuzwa kwa waarabu na waZanzibari, na huo ndio ukweli, wala sio udini au ubaguzi, ni ukweli tu., narudia kuziweka hoja hapo chini.

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Shida siyo Sa100 bali tatizo kubwa ni fisiemu..

Tushughulike nayo
 
Kama sikuhiz akiongea saut inatetema?mie sikuhiz namute clips anazokuwa anaongea nikizikuta popote🙏 just tired of hearing her powerless voice🤣
Ina athari gani kwake? Kwanza ni nani kwake wewe?!!!!! Akiamua si anakuona sisimizi tu. Nashauri muhame kabisa nchi sababu yupo sana na historia ya kimaendeleo ya kiuchumi inaenda kubadilika.......na si mwingine anayeleta mabadiliko hayo ni Dr Samia Suluhu Hassan. Ikakupoteka kalipambilile (in Field Marshal Tongolanga's voice)
 
Ukweli ni kitu cha ajabu sana, unaweza kujidai mjanja ukaufumbia macho kwa nje, lakini ndani lazima utaumia, hata kama kwa nje utajidai kupuuza maneno ya watu, lakini ndani lazima moyo utakuuma.

Utakuuma kwa sababu jambo ulilofanya ukidhani litakuwa siri, matokeo yake ile siri inakuwa wazi, baada ya hapo unajua fika, ule uaminifu uliokuwa nao kwa wale unaowatumikia ndio umepotea, kinachofuata baada ya hapo ni aibu na majuto, hata kama utajidai kuyapuuzia.
😄😄😄😄😄
Mnajitahidi, si mbaya endeleeni kuzusha hili na lile labda malengo yenu yatatimia.
 
Waislamu wakiwaona waarabu wanama kama wamekutana na mungu, full kujikomba wakati waarabu wanawadharau kama nnya.
Huujui uislamu wewe, uuslamu hauangalii mwarabu, mzungu wala mchina, ni total different aspect na fikra zenu, nyie pambaneni na roho zenu mbaya za kumchukia rais bila kuhusisha uislamu wake wala uanamke wake, hao wakristo wenu wamefanya ya ajabu mengi tu, nyerere mkapa na jiwe wote na mabaya yao makubwa hamyasemi......
 
Tufahamu ya kuwa hakuna mgeni atakuja kutuletea maendeleo sisi tukishindwa. Nasema tena hakuna.
Hayupo mwekezaji atakuja kuibadili hali yako, kama umeshindwa.

Tena kwa mikataba mibovu kama hii, ndio kabisa tutarajia wao kuvuna zaidi na sisi kubaki kama tulivyo.
 
Tufahamu ya kuwa hakuna mgeni atakuja kutuletea maendeleo sisi tukishindwa. Nasema tena hakuna.
Hayupo mwekezaji atakuja kuibadili hali yako, kama umeshindwa.

Tena kwa mikataba mibovu kama hii, ndio kabisa tutarajia wao kuvuna zaidi na sisi kubaki kama tulivyo.
Na kinachonikera mimi ni kwamba badala ya kujibu hoja wao wanajibu mipasho. Sasa kusema kwamba unaziba masikio ndio unajibu hoja hapo?!
 
Hilo ndio linalotakiwa.

Haiwezekani tunaenda maonesho ya "Dubei Expo", hapo hapo, tunapeana tenda ya kuendesha bandari zote za Tanganyika.

Nchi tunaonekana kituko. Sheria za procurement tumeweka mfukoni. No ushindani. No vigezo vyetu. Yani hewala ilimradi tu.

Vitu kama hivi hautakiwi kukurupuka. Tahadhari kubwa inatakiwa.

SGR kulikuwa na zabuni tukachagua, Bwawa la Nyerere tulifanya hivyo hivyo tukachagua nk. Hatutakiwi kuwa desperate.
 
Mleta hoja tarajia blah blah za hawa viumbe ccm wanaofanana na binadamu watakavyosema!
ccm inatupeleka ktk shimo baya sana kuwahi kutokea!
 
Huujui uislamu wewe, uuslamu hauangalii mwarabu, mzungu wala mchina, ni total different aspect na fikra zenu, nyie pambaneni na roho zenu mbaya za kumchukia rais bila kuhusisha uislamu wake wala uanamke wake, hao wakristo wenu wamefanya ya ajabu mengi tu, nyerere mkapa na jiwe wote na mabaya yao makubwa hamyasemi......
Povu zito
 
View attachment 2668869

Ikifika mwezi wa 7 , kuna ‘mbuzi’ wawili au watatu watatolewa kafara, hii ni kwa decoding binafsi ya mtiririko wa matukio takriban matano hadi kumi niliyoya -observe, na inanipelekea kuamini hivyo.

1.) Haya majibu yanayotolewa na serikali kupitia Gerson Msigwa , Kassim Majaliwa na Hamza Johari yanatolewa kwa ajili ya nani? Maana tumeambiwa hizi kelele hazibadilishi chochote, sasa ya nini kutujibu wapiga kelele?

2.) Ni lini iliwahi tokea hapa Tanganyika pakawa na such an intense persistence, consistence na insistance ya kupinga matendo ya serikali kwa muda wa mwezi mzima bila kupumua, we are breathing bandari, day in , day out , hadi lini tutakuwa ignored?!

3.)Rais akiongea kwa sasa sauti yake inatetemeka, anaogopa nini, anaongea as if anataka kulia kwanini? Tangu lini mkuu wa nchi akatoa kauli irresponsible na ya kimipasho kama ile dhidi ya hoja serious kama za kuuzwa kwa Tanganyika, kwamba anaweka pamba masikioni?! Siasa ni Taarab?!

4.)Hadi majumbani watoto wanatuuliza tuufafanue mkataba huu wa bandari, imagine, kwa aibu kali inabidi tuwaeleze kwamba tumeuzwa kwa waarabu na waZanzibari, na huo ndio ukweli, wala sio udini au ubaguzi, ni ukweli tu., narudia kuziweka hoja hapo chini.

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Sijui kwa nin najikuta nina mashaka na Madelu na yule msambaa asiyeota nywele
 
Wameshaanza kulegea. Kwamba makubaliano mliyoweka saini zenu si mkataba? Kumbe ni nini?

 
Kwahyo tukitangazwa bure dubai na sisi tugawe bandari zetu maana tatizo sio muwekezaji tatizo ni hayo makubaliano ya kwenye mkataba hanatupa nn na muarabu anapata nn hapo ndio kimbembe
 
Back
Top Bottom