Tulivyoachana aliniambia mtoto siyo wa kwangu, ameachwa tena anataka nimrudie

Tulivyoachana aliniambia mtoto siyo wa kwangu, ameachwa tena anataka nimrudie

TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.

"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.

Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.

Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....

Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.

Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?
Ishu kama hiyo ndo ungetakiwa uonyeshe nini maana ya uanaume siyo usubiri tukupe ushauri wa kibabe.
 
Sasa ndyo naelewa
Juzi kuna page moja nimeifollow istagram yule jamaa anaandika mambo mengi hasa haya ya kijasusi na humu jf yupo pia.Sasa kuna post moja aliiweka instagram kwenye comment kuna jamaa akamuuliza mbona cku hz sikuon ukichangia huku jf jamaa akajibu kuna utoto mwingi sana huku jf leo nimeamini.Jf kuna wahamiaji wengi kutoka fb ndyo tatizo
 
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.

"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.

Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.

Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....

Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.

Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?
Hivi kweli hadi hatua hii unahitaji ushauri nini cha kufanya? Wewe hujitambui ndiyo maana huyo mwanamke anakuzingua. Ulishachukua maamuzi sahihi kumpiga chini baada ya kujiridhishs kuwa huyo demu ni kicheche sasa unataka tena kumrudia? Umerogwa si bure
 
Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?

Binafsi naamini sikuletwa duniani kuwajali watu wasionijali.

Sasa, sijui kwa upande wako mkuu.
 
Huyu ni mpuuzi ana mada kibao hata haeleweki.
Mods chezeni nae huyu mtu
 


Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sana Ndugu Zangu

By Jiwe
 
Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....
Dunia hii kuna watu wana majanga aisee.
Pole mkuu kwa huu mkasa. Unauma sana.
 
MUME WANGU ANANIZALISHA MFULULIZO KILA MWAKA, NIMECHOKAAA
Duniani Vioja haviishi sasa hata hili kweli , jamani naomba ushauli nifanyaje maana nashindwa kuamua chochote
[emoji24]
[emoji24]
kaka mwaka 2006 niliolewa na msomali mmoja hivi hapa Mombasa Kenya.... yuko na pesa za kutosha hatuna shida sawa lakini tangu anioe amekuwa ni mtu wa kunizalisha kila mwaka, niliolewa 2006 lakini mpaka sasa nina watoto 8, na nina miaka 38.

Imefika wakati watoto hata hawajulikani yupi mkubwa yupi mdogo
[emoji24]
[emoji24]
sasa hivi nimemkimbia nalala kwenye chumba cha watoto, alivyoona hivyo ameacha kulala nyumbani, mala anachelewa kurudi...

Mimi nimeshachoka jamani imefika mda sina nguvu kutokana na kuzaa mfululizo, eti jamani nifanyaje? Nakosa uamuzi maana nikienda kulala chumbani hataki tutumie kinga, matokeo yake mtoto hata hajakuwa vizuri mimba nyingine inaingia, nawapenda watoto ila hii imekuwa too much naomba unisaidie nifanyaje

Wanawake wanataka nini Jamani wazae shida wasizalishwe shida ..............
[emoji24]
[emoji24]
Miaka 6 watoto nane? Hii chai imeqahi sana
 
TULIVYOACHANA ALINIAMBIA MTOTO SIYO WA KWANGU, AMEACHWA TENA ANATAKA NIMRUDIE.

Dunia hii hawa Wanawake wamekuwa Vichaaa siyo Bure.... kaka nimekwama najitaji ushauli naomba nisaidie.

"Nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa naishi nae ingawa tulikuwa bado hatujaoana ila tulikuwa tunaishi pamoja kama mke na mume na wazazi wake na wa kwangu walilijua hilo..... mahusiano yetu hayakwenda bure tulibahatika kupata mtoto wetu wa kiume.

Kiukweli nilikuwa nampenda sana mpenzi wangu, yani sanaa ingawa yeye alikuwa bado hajawa tayari kuwa mke ndiyo maana alikuwa hataki nimuoe mapema.

Miezi 8 baadae baada ya mtoto kuzaliwa, nilimfumania na mwanaume mwingine wakiwa faragha, badala aniombe msamaha alinitukana sana mbele ya umati wa watu na kusema hata mtoto siyo wa kwangu, ni kihelehele changu tu cha kuhudumia....

Niliumia sana yani ile kauli inaniuma mpaka leo ukizingatia nimelea tangu wiki ya kwanza hadi kujifungua, mtoto hakufanana na mimi ila sikujali maana mtoto anaweza kufanana na mama yake tu kwahiyo sikuwaza sana, kutokana na kauli zile niliumia sana nikaja kumuacha.

Sasa siku za hivi karibuni ananisumbua eti nisamehe ni shetani alimuingia, mara ulikuwa ni utoto mtoto ni wangu, na ameniambia kule pia kaachika, nifanyaje kaka?
Wewe ni chizi au ni kichaa?Unachotaka ni mtoto,mke au ni kihereher tu cha kutaka kujisikia kwamba unapendwa.
 
MUME WANGU ANANIZALISHA MFULULIZO KILA MWAKA, NIMECHOKAAA
Duniani Vioja haviishi sasa hata hili kweli , jamani naomba ushauli nifanyaje maana nashindwa kuamua chochote
😭
😭
kaka mwaka 2006 niliolewa na msomali mmoja hivi hapa Mombasa Kenya.... yuko na pesa za kutosha hatuna shida sawa lakini tangu anioe amekuwa ni mtu wa kunizalisha kila mwaka, niliolewa 2006 lakini mpaka sasa nina watoto 8, na nina miaka 38.

Imefika wakati watoto hata hawajulikani yupi mkubwa yupi mdogo
😭
😭
sasa hivi nimemkimbia nalala kwenye chumba cha watoto, alivyoona hivyo ameacha kulala nyumbani, mala anachelewa kurudi...

Mimi nimeshachoka jamani imefika mda sina nguvu kutokana na kuzaa mfululizo, eti jamani nifanyaje? Nakosa uamuzi maana nikienda kulala chumbani hataki tutumie kinga, matokeo yake mtoto hata hajakuwa vizuri mimba nyingine inaingia, nawapenda watoto ila hii imekuwa too much naomba unisaidie nifanyaje

Wanawake wanataka nini Jamani wazae shida wasizalishwe shida ..............
😭
😭
Mmeo ni mtu mbadi
 
Back
Top Bottom