Tuliwaambia kugusa NATO ni kufuru, Urusi ajitetea sana hakuhusika na shambulizi la Poland

Tuliwaambia kugusa NATO ni kufuru, Urusi ajitetea sana hakuhusika na shambulizi la Poland

Hapa ndo tunapingana.

Vita ya Russia na Ukraine ni vita ya kimkakati kati ya Russia na Nato. (vita kivuli).

Mkuu amini nakwambia Russia anabalance economy , nchi yake haiko fuly vitani .

Ndo maana hata NATO hawataki kumpa Ukraine makombora ya masafa marefu kuishambulia Moscow direct sababu Russia watainvoke 'Article yao' ya kujihami kwa nguvu yeyote. Vita itaisha na maafa makubwa sana .

Kwa hasara aliyoingizwa Urusi na hako kainchi kadogo Ukraine ni mithili ya vita kamili, idadi ya wanajeshi aliopoteza, military inventory iliyotumika mpaka anaishia kuomba misaada, ameishia hata kukusanya wafungwa wakapigane, anaokoteza jeshi la akiba, vijana ambao inabidi awape training, yaani kafikishwa ukutani kabisa, na mbaya zaidi anazidi kufukuziwa maeneo aliyokua ameshikilia, lini supapawa ufukuziwe kihivyo, kuanzia msafara wake kufyekwa Kyev mpaka hapa alipo ni full hasara kila siku.

Kwa sasa hata Waarabu hawamtegemei tena.
 
Kwa hasara aliyoingizwa Urusi na hako kainchi kadogo Ukraine ni mithili ya vita kamili, idadi ya wanajeshi aliopoteza, military inventory iliyotumika mpaka anaishia kuomba misaada, ameishia hata kukusanya wafungwa wakapigane, anaokoteza jeshi la akiba, vijana ambao inabidi awape training, yaani kafikishwa ukutani kabisa, na mbaya zaidi anazidi kufukuziwa maeneo aliyokua ameshikilia, lini supapawa ufukuziwe kihivyo, kuanzia msafara wake kufyekwa Kyev mpaka hapa alipo ni full hasara kila siku.

Kwa sasa hata Waarabu hawamtegemei tena.
Sisi tunafikiria ndani ya box mzee!!...

millitary strategy za wakubwa ni kali mno,

Kama ameidhiwa si wamchape chap!!..

Russia alipigana miaka 8 huko Nyuma. Vita miez 8 kwa super power ni kitu kidogo sana.
Militarily Russia yupo nyuma ya us , No 2 lakin kuwa namba 2 hata 3,4 au 5 duniani si ishu ndogo.

Kumuangusha huyu cost yake ni kuangamiza certain civilization.

Unajua mwishowe Safety insurance ya Superpowers ni silaha gani?.. So elewa hakuna wa kuiangusha Moscow. Gharama zake ni herinUkraine ianguke
 
Sisi tunafikiria ndani ya box mzee!!...

millitary strategy za wakubwa ni kali mno,

Kama ameidhiwa si wamchape chap!!..

Russia alipigana miaka 8 huko Nyuma. Vita miez 8 kwa super power ni kitu kidogo sana.
Militarily Russia yupo nyuma ya us , No 2 lakin kuwa namba 2 hata 3,4 au 5 duniani si ishu ndogo.

Kumuangusha huyu cost yake ni kuangamiza certain civilization.

Unajua mwishowe Safety insurance ya Superpowers ni silaha gani?.. So elewa hakuna wa kuiangusha Moscow. Gharama zake ni herinUkraine ianguke

Hawezi akachapika kisa manyuklia yake, alishayaweka tayari kwamba akichapwa tu anayafyatua, sasa adhari za hayo manyuklia ndio balaa, maana pia ikumbukwe siku akija kushambulia kwa nyuklia, naye atajibiwa na kufutwa kabisa kwenye uso wa dunia, sasa hayo sio maamuzi rahisi maana mamilioni ya Warusi hawana hatia, ni uchizi wa Putin na oligarchies wake, amesababisha jeshi la Urusi limefutwa karibia lote.
 
Russia anatumia hadi wafungwa kuwapeleka vitani kwa nguvu baada ya kuishiwa na wanajeshi na matokeo yake wamemponza yule kijana wa Zambia.

Taarifa na takwimu nyingi za kijeshi kwa mataifa mengi duniani ni uongo mtupu na tumeona kwa nchi kama Russia kujigamba eti wana wanajeshi zaidi ya laki nane kumbe wanajeshi wao hawafiki hata laki tatu.

Hovyo sana na ndio maana wanapeleka hata wafungwa vitani kwa nguvu na vijana wasio na ajira kwa sababu wameishiwa wanajeshi baada ya wengi kuuwawa na wengine wakajeruhiwa.
Hujui kitu endelea kula na kulala hapo kwa shemeji yako.
 
Hawezi akachapika kisa manyuklia yake, alishayaweka tayari kwamba akichapwa tu anayafyatua, sasa adhari za hayo manyuklia ndio balaa, maana pia ikumbukwe siku akija kushambulia kwa nyuklia, naye atajibiwa na kufutwa kabisa kwenye uso wa dunia, sasa hayo sio maamuzi rahisi maana mamilioni ya Warusi hawana hatia, ni uchizi wa Putin na oligarchies wake, amesababisha jeshi la Urusi limefutwa karibia lote.
Hujui lolote wewe endelea kukaa hapo mabandani tu.
 
Ndugu acha kujichosha bila sababu...unataka russia wakubali tu hata kama hawajahusika...huo ni mchezo wa zelensky kuwaprovoke NATO ili awagombanishe na Urusi, kama wanaamini urusi ndio kashambulia wanasubiri nini mpaka wanaanza kujiuzauliza.

Then nimegundua NATO ni wazembe kumbe kwenye masuala ya ulinzi hadi muda huu hawajui mashambulizi yametoka wapi....
Umrshashiba kiporo cha maharagwe mabichi na viazi huko kwenu madansa kona unaandika rubbish Tu
 
Hawezi akachapika kisa manyuklia yake, alishayaweka tayari kwamba akichapwa tu anayafyatua, sasa adhari za hayo manyuklia ndio balaa, maana pia ikumbukwe siku akija kushambulia kwa nyuklia, naye atajibiwa na kufutwa kabisa kwenye uso wa dunia, sasa hayo sio maamuzi rahisi maana mamilioni ya Warusi hawana hatia, ni uchizi wa Putin na oligarchies wake, amesababisha jeshi la Urusi limefutwa karibia lote.

Akirusha hayo Manuckear na yeye akashambuliwa.

Unajua nini kitatokea???

Ushaaikia Nuclear Doomsday?

Nani anaitaka kisa Ukraine??....

Kuivamia Urussi kijeshi hilo Suala halipo, kuivamia US kijeshi hilo suala halipo.
 
Akirusha hayo Manuckear na yeye akashambuliwa.

Unajua nini kitatokea???

Ushaaikia Nuclear Doomsday?

Nani anaitaka kisa Ukraine??....

Kuivamia Urussi kijeshi hilo Suala halipo, kuivamia US kijeshi hilo suala halipo.

Huyo Urusi avamie nchi iliyo ndani ya NATO ndio tujue mengine....
 
Ameshapiga tayari Poland na kuua wawili. 🤣Zelensky anasema ni makombora ya Urussi lakini wafadhili wake wanasema ni makombora ya Ukraine hebu tuambie na wewe yale makombora yaliyouwa Poland ni ya nani!??

Urusi mwenyewe aliwahi na kukana na kusema sio ya kwake na akaomba waache kumchonganisha, maana anajua nini kinachoweza kumtendekea, sema kwake yeye watapunguza, hawatapiga namna wao hupiga ile miarabu yenu.
 
Kwa hiyo kumbe nchi yeyote isio mwanachama wa NATO inaweza kuishambulia nchi mwanachama wa NATO na Kisha kujitetea kwa kuomba msamaha na NATO wakasamehe.
Aisee! huu umoja wa NATO umeokoka siku hizi.
 
Kwa hiyo kumbe nchi yeyote isio mwanachama wa NATO inaweza kuishambulia nchi mwanachama wa NATO na Kisha kujitetea kwa kuomba msamaha na NATO wakasamehe.
Aisee! huu umoja wa NATO umeokoka siku hizi.

Warusi hawakuomba msamaha maana hawangeupata, walijitetea na kukana kwa nguvu zote kwamba sio wao, uchunguzi unafanywa kubaini ukweli.
 
Warusi hawakuomba msamaha maana hawangeupata, walijitetea na kukana kwa nguvu zote kwamba sio wao, uchunguzi unafanywa kubaini ukweli.
Ikibaninika Kombora limetoka Ukraine,article za NATO zitafanya kazi Kwa ukaraine au zipo Kwa ajili ya Urusi?
 
Sasa kama hajahusika atasema kahusika? We una akili wewe?
 
Ikibaninika Kombora limetoka Ukraine,article za NATO zitafanya kazi Kwa ukaraine au zipo Kwa ajili ya Urusi?

Ukraine ataonywa tu kwa sababu hana desturi ya uchokozi, na kwa sasa hivi anapambana dhidi ya mvamizi.
Lakini kwa Urusi itabidi kinuke maana yule ni mvamizi, mchokozi, mdhulumaji, na tegemezi la waarabu wenu kwenye maugaidi yao.
 
Ukraine ataonywa tu kwa sababu hana desturi ya uchokozi, na kwa sasa hivi anapambana dhidi ya mvamizi.
Lakini kwa Urusi itabidi kinuke maana yule ni mvamizi, mchokozi, mdhulumaji, na tegemezi la waarabu wenu kwenye maugaidi yao.
Kwahiyo tunakubaliana NATO iliundwa Kwa ajili ya Russia?
Daah,Russia dude flani hivi kuuubwa!
 
Kwahiyo tunakubaliana NATO iliundwa Kwa ajili ya Russia?
Daah,Russia dude flani hivi kuuubwa!

NATO iliundwa kulinda mataifa dhidi ya uvamizi, ila majibu yao yanategemea na historia ya mvamizi, hivyo majibu yao kwa Urusi lazima iwe ya kumpiga kama kenge.
Mvamizi akiwa mwarabu wenu ndio wanamfuta kabisa.
 
Urusi mwenyewe aliwahi na kukana na kusema sio ya kwake na akaomba waache kumchonganisha, maana anajua nini kinachoweza kumtendekea, sema kwake yeye watapunguza, hawatapiga namna wao hupiga ile miarabu yenu.
Unajielewa kweli mkuu!!? Kwani NATO sasa hawamsaidii Ukraine?? Sema wameogopa ingekuwa nchi kama yako Kenya sasa hivi mngekuwa mmeshajazana TZ kama wakimbizi. Iraq ilisingiziwa tu kuwa na silaha za maangamizi bila ushahidi wowote wakaivamia na mpaka sasa hivi hakuna ushahidi wowote wa silaha za maangamizi. USA ni mashetani kabisa.
 
Back
Top Bottom