Tuliwaambia/Tunawaambia tena! Uongozi ni kipawa, Hayati Magufuli bado ni shujaa na atakuwa shujaa tuu!

Tuliwaambia/Tunawaambia tena! Uongozi ni kipawa, Hayati Magufuli bado ni shujaa na atakuwa shujaa tuu!

Ondoka huko. Unakojoa kitandani. Kufika uchumi wa Kati sio kamari usema mshindi alipata wenge akamaliza. Sio hela ya kupewa ni mifumo inayokuw na kujishika ardhini vyema.


Amka ukafanye kazi Enzo yako ya bure imekata. Kama hujaweka akiba imekula kwako na utumoa kuliko uliowacheka.
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
Katika_Historia%3A%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hak...jpg
 
Alikuwa anatengeneza Taifa la Wachuuzi...Mpuuzi yule

Wakati China ilifika huko na kuona ni dira ya kipumbavu....na kuamua kutengeneza wasomi ambao wameligeuza taifa la kuwa la wazalishaji badala ya kuchuuza bidhaa za kutoka Taiwan na Japan zilizokuwa zinazalisha bidhaa za nchi za magharibi..
Yeye akaona tuwe wachuuzi wa bidhaa hafifu za kichina....
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
Dah! Panya road usiwaseme ndugu yangu. Juzi usiku wa saa moka mbili jirani yangu kawavurusha kwa marisasi wakiwa zaidi ya kumi!
 
Huwa nawaambia watu siku zote"Kipawa Cha uongozi siyo makalio kwamba kila mtu anayo" na ndiyo maana ukienda Israel huwa wanaheshimu sana kabila lenye watu wenye vipawa vya kuongoza.
Ambalo ni kabila gani hilo?
 
It is always green on the other side,
Magu alikua rais alaaaar!
Namkumbuka Sana,pumzika shujaa.
 
Serikali ikipika takwimu zake inaweza kuonekana ina uchumi imara lakini siyo kweli. Kama serikali ilidanganya wazi wazi kwamba bongo hakuna corona wakati nchi jirani zina corona, basi jua wanaweza kudanganya hata kwenye takwimu za uchumi. Hata enzi za Nyerere walidanganywa kuhusu hali ya uchumi wakati kila mtu anaona maisha ugumu. Ndiyo Wajamaa jinsi walivyo. Ni waongo na matapeli.
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
Kuliongezea taifa madeni makubwa nao ni ushujaa??
 
Mzimu wa JPM unatutesa sanaa.
Maana mzee alikuwa anajua Takwimu za kila kitu mpaka na Mifugo.

Ila sasa hata kujua mapato ya TRA kwa mwezi hakuna.

Hatakujua tuu kule migodini mapato yake hakuna.

Hata kule Bandari kujua madudu hakuna.

Sasa kila mtu anakula na kusepa.
Maana hakuna anae jua kitu chochote
Mwandikie Barua......
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
Jpm hakufaa hata kuwa mkuu wa wilaya
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
Sawa kabisaaaa
 
Back
Top Bottom